Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Mimi kesho naenda fata JABA langu na Beseni na dodoki langu nikilikuta nabeba

siwezi achia dodoki langu mwanaume mwenzangu,Jaba langu kabisa liwekee maji akaoge dume mwenzangu

nafataaa nasemaa kesho mapemaa naomba ruhusa kazini naenda vifata jaba,beseni ntajua pakupeleka
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
1722967226132.png
... RUDISHA! 😅
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Punguzeni kuombaomba.
 
Back
Top Bottom