Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

M NILIMWACHIA GARI VYOTE VYA HARUSI AKATAKA KUSACHI BEGI RUKSA AKAKUTA VYETI VYA SHULE OFISIN NGUO CHACHE NA CONDOM KAHAMAKI INAZIPELEKA WAPI NKASEMA KIMOYOMOYO HIVYO NDOO THAMAN YAKO UNATAKA NA CNDM TENA UWII
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Tulimalize kwa kumpa tu hivy vyake hizo mara kumi kajinunulie mwenyewe
 
Nawe si mchoyo atiii hahaaaa
Umeenda kuleeee!😂🙌
Lakini angalia wengine wamezaliwa na kaka zao wanajitolea sana kuwalinda wadogo zao! Kuchukua majukumu halafu sio wabinafsi

Hata rafiki yako akiwa mwanaume usipompa chochote lakini bado atakujali
 
Mdai time na utamu wako babes

Huo tamu unapatikana kutoka sehemu ya nani - ?

Chakula na sufuria

Mwanaume anakuwa na chakula tayari Ila anatafuta sufuria ambayo anaweza kujichua , kununua Malaya au mke wake.
 
Mwambie alivyokupa vinafidiwa na jinsi alivyoichapa papuchi yako. Maintenance ya papuu ni hizo tips ndogondogo...
Aaa wapi!

Mwamba achukue vitu vyake. Papuchi ni self maintaining. Anapita mtoto pale na baada ya siku kadhaa tu isharudi katika hali yake ya kawaida sembuse...

Mwamba arudishiwe vitu vyake haijalishi ni vya kimasikini namna gani! 🚶🏿‍♂️
 
Wanaume hawahawa ninaowajua mimi wenye roho nzuri?
achana na huyo anatusingizia tu, halafu et anatuita maskini, umaskini umekuja baada ya kuachana, walivokuwa wakiitani babe, honey, swiri hakuuona huo umaskini, wanawake baadhi jahu sana wallah.
 
Back
Top Bottom