Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Mdai time na utamu wako babes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitudanganye kuwa Luka anaroho nzuri 😂Niliandika tungo tata ukashindwa kuelewa nisharekebisha
Wanaume wana roho nzuri ndio maana nimeshangaa huyo mwanaume aliyemuomba dada arudishe vitu vyake
Sasa unatuambia sisi tukusaidiaje?Alitoa kwa mapenzi yake sikumuomba akwende zake
Lkn raha c mlipata wote na hizo mbegu c zilitoka siku ileile mlivozagamuana au?Kama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
Mungu anakuonaaaqq hahaha
Thamani yako inafanana na hizô zawadi alizokupa.
Unavyothaminisha hizô zawadi thamani yake inalingana na wewe
Sio luca tu! Wanaume wengi niliowaona kwa mbali au karibu ni watu wazuri wana moyo wa kujitolea sio wachoyoUsitudanganye kuwa Luka anaroho nzuri 😂
Nawe si mchoyo atiii hahaaaaSio luca tu! Wanaume wengi niliowaona kwa mbali au karibu ni watu wazuri wana moyo wa kujitolea sio wachoyo
Lkn raha c mlipata wote na hizo mbegu c zilitoka siku ileile mlivozagamuana au?
Tulimalize kwa kumpa tu hivy vyake hizo mara kumi kajinunulie mwenyeweMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Umeenda kuleeee!😂🙌Nawe si mchoyo atiii hahaaaa
Mdai time na utamu wako babes
MaybeHuo tamu unapatikana kutoka sehemu ya nani - ?
Chakula na sufuria
Mwanaume anakuwa na chakula tayari Ila anatafuta sufuria ambayo anaweza kujichua , kununua Malaya au mke wake.
Aaa wapi!Mwambie alivyokupa vinafidiwa na jinsi alivyoichapa papuchi yako. Maintenance ya papuu ni hizo tips ndogondogo...
Maybe
Uume unagharamiwa kuliko uke .❤️Ivo yaan👊
achana na huyo anatusingizia tu, halafu et anatuita maskini, umaskini umekuja baada ya kuachana, walivokuwa wakiitani babe, honey, swiri hakuuona huo umaskini, wanawake baadhi jahu sana wallah.Wanaume hawahawa ninaowajua mimi wenye roho nzuri?
Mlipe tu mara kumi yake acha kumsema vibayaMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia [emoji23] utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.