DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Pole Sana mkuu hapo ni kurudisha MALI za WATU maana watu wamebadilika Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo mbegu hazinaga reverse gear zikishaingia haziwezi kutolewa 😁Kama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
Naunga mkono hoja.Kama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
Anatusingizia huyuWanaume hawahawa ninaowajua mimi wana roho nzuri?🤔
Unataka kutuaminisha kuwa Lukas Mwashambwa hata roho nzuri?Wanaume hawahawa ninaowajua mimi wana roho nzuri?🤔
Haswaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika yaan
Niliandika tungo tata ukashindwa kuelewa nisharekebishaUnataka kutuaminisha kuwa Lukas Mwashambwa hata roho nzuri?
Hilo ni kosa lako, hukujua kuchuja wanaume vizuri.Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
.mara 10 ungenunua weweMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
KaukwaaaHilo ni kosa lako, hukujua kuchuja wanaume vizuri.
.mhayaaa huyuuNiliandika tungo tata ukashindwa kuelewa nisharekebisha
Wanaume wana roho nzuri ndio maana nimeshangaa huyo mwanaume aliyemuomba dada arudishe vitu vyake
Vizuri tu na wewe pia utanirudishia energy yangu yote niliyotumia wakati nakupandisha mlimaKama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
Mungu anakuonaaaqq hahahaThamani yako inafanana na hizô zawadi alizokupa.
Unavyothaminisha hizô zawadi thamani yake inalingana na wewe
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.