Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Hilo ni kosa lako, hukujua kuchuja wanaume vizuri.

Mimi nikikuacha hata kama tulikuwa tunakaa nyumba moja, na nyumba nakususia.
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake. Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
cup-of-tea-teapot.gif
 
Back
Top Bottom