Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Fafanua vizuri hii mkuu.

Mtu kakupa zawadi wewe ukishaanza kuithaminisha zawadi thamani yake badala ya kuona thamani ya utu aliouonyesha aliyekupa zawadi maana yake hiyo zawadi unalingana nayo thamani na kama ukinyang'anywa itamaanisha aliyekupa ameona hulingani na Ile zawadi aliyokupa.

Siô ajabu badala ya Mpewa zawadi kushukuru Kwa zawadi aliyokuwa amepewa analeta dharau za sungura za sitaki mbichi hizi.

Kama angekuwa na Shukrani hata kama amenyang'anywa ingeashiria yeye ni wathamani zaidi kuliko kile alichokuwa amepewa.

Lakini mchukua zawadi kaona akimuachia hizô zawadi aka kandambili za Buku tano ameona atafaidi kwani zinathamani Kwa Mpewa zawadi.

Huwezi mnyang'anya Mtu kitu ambacho unaona kwake hakina thamani never ever.
Unamnyang'anya Mtu kitu chenye kumuumiza
 
Iliwahi nitokea nikamwitia kelele za mwizi dadekiii alichezea vitofa vya ugoko anataka kuchukua simu kirahisi 🐒
 
Nilkua njiani kurudsha wigi aliloninunulia ,,ila nmesoma comments hapa,narudi nalo tu
 
Iliwahi nitokea nikamwitia kelele za mwizi dadekiii alichezea vitofa vya ugoko anataka kuchukua simu kirahisi 🐒


Hapo ulizingua Sana tena sana

Ukimuitia kelele za mwizi haujui wanaweza kumuua au kumuumiza na ukatengeza bad karma katika safari yako ya maisha.

Materials things sio kitu
 
Hapo ulizingua Sana tena sana

Ukimuitia kelele za mwizi haujui wanaweza kumuua au kumuumiza na ukatengeza bad karma katika safari yako ya maisha.

Materials things sio kitu
Yeye ndio alizingua kwa nini atake kuchukua kitu ambacho si chake na alipigika kweli.
 
Tat
Yeye ndio alizingua kwa nini atake kuchukua kitu ambacho si chake na alipigika kweli.


Hiyo umejitengenezea bad karma unaweza ukawa MTU wakupitia the same situation ktk mahusiano na kuwa na rejected.

Kama alikununilia simu then akataka hiyo simu waweza mpatia kuliko kumuitia kelele za mwizi.

Siunakumbuka yule Dada alieluemuitia kelele za mwizi Mwanafunzi wa SAUTI na akapigwa hadi kuuliwa kisa tu alienda kuchukua laptop na simu kutoka kwa x-wake

Then Dada akaingizwa jela na kufungwa .

So play fair 24/7 simu ni vitu vidogo kumuitia MTU kelele za mwizi na ambaye alikuwa mpenzi is bullshit decision.
 
Iliwahi nitokea nikamwitia kelele za mwizi dadekiii alichezea vitofa vya ugoko anataka kuchukua simu kirahisi 🐒
Never try this again, ulikosea sana aisee kumwitia mtu mwizi ni kitu kibaya sana what if angekufa uyo ex wako unafikir ungebaki salama ndugu?? sidhani kama ungebaki salama lolote lingekukuta kwako. jifunze kupotezea baadhi ya vitu kwenye maisha kinyume na hapo itakukosti day moja
 
Back
Top Bottom