Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua vizuri hii mkuu.
baadhi ya wanawake hawajafundwa kuheshimu wanaume, ona maneno mabovu ya threader dhid ya ambaye juz tu alikuwa anamuita "mume wangu".Uzi unakimbia huu
Ipi kiongoziacheni tabia za kimasikini mpatie stahiki yake binti
Ila ulimkubali kinomaHela yenyewe ya kununulia sabufa anayo basi
Iliwahi nitokea nikamwitia kelele za mwizi dadekiii alichezea vitofa vya ugoko anataka kuchukua simu kirahisi 🐒
Yeye ndio alizingua kwa nini atake kuchukua kitu ambacho si chake na alipigika kweli.Hapo ulizingua Sana tena sana
Ukimuitia kelele za mwizi haujui wanaweza kumuua au kumuumiza na ukatengeza bad karma katika safari yako ya maisha.
Materials things sio kitu
Yeye ndio alizingua kwa nini atake kuchukua kitu ambacho si chake na alipigika kweli.
Never try this again, ulikosea sana aisee kumwitia mtu mwizi ni kitu kibaya sana what if angekufa uyo ex wako unafikir ungebaki salama ndugu?? sidhani kama ungebaki salama lolote lingekukuta kwako. jifunze kupotezea baadhi ya vitu kwenye maisha kinyume na hapo itakukosti day mojaIliwahi nitokea nikamwitia kelele za mwizi dadekiii alichezea vitofa vya ugoko anataka kuchukua simu kirahisi 🐒
atakufanyia asaimenti😉Umeenda kuleeee!😂🙌
Lakini angalia wengine wamezaliwa na kaka zao wanajitolea sana kuwalinda wadogo zao! Kuchukua majukumu halafu sio wabinafsi
Hata rafiki yako akiwa mwanaume usipompa chochote lakini bado atakujali
Sio kweliatakufanyia asaimenti😉
kumekuchaKama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
Dada umetumia kiungo gani kufikiri?Kama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
🤣🤣🤣🤭Dada umetumia kiungo gani kufikiri?
Una kitu utafika mbali🤣🤣🤣
😉kumekucha
Okee okeeUume unagharamiwa kuliko uke .
Tena gharama zinaanzia utotoni kabisa , uume unapochongwa (kutahiriwa).