njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Ndio hawa hawa wanaonyima mpaka maji 😮💨😮💨Wanaume hawahawa ninaowajua mimi wenye roho nzuri?🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hawa hawa wanaonyima mpaka maji 😮💨😮💨Wanaume hawahawa ninaowajua mimi wenye roho nzuri?🤔
Mbona umeuma sana we rudisha vitu na nyongeza alafu muombe Mungu akuepushe na shetani kama hiloMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Kwa sababu mie situmii energy🤔
Rudisha vitu vya watuHela yenyewe ya kununulia sabufa anayo basi
Si urudishe unakaa navyo vya nini , wanawake nyie bana wazulumati sanaMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
We si ni fala .kwaiyo unaona sifa auHilo ni kosa lako, hukujua kuchuja wanaume vizuri.
Mimi nikikuacha hata kama tulikuwa tunakaa nyumba moja, na nyumba nakususia.
Sirudishi makusudi ili nimuuzi kilichoenda kwa mganga hakirudiSi urudishe unakaa navyo vya nini , wanawake nyie bana wazulumati sana
Akajambe mbele akirudi kituTapika vitu vya watu..Acha siasa za maji taka.
Najua anakasirika nisiporudisha lengo langu akasirike mpaka apasukeRudisha vitu vya watu
Wewe kama una hiyo hela ulipokea vya nn?
Si ungenunua mwenyewe
Ukiona unalalamika hadi unaandika humu jf jua umeumia moyon
Mungu aniepushe na mwanaume wa hivyo lakini vitu sirudishi!Mbona umeuma sana we rudisha vitu na nyongeza alafu muombe Mungu akuepushe na shetani kama hilo
Hela hana alafu kisiraniSasa kama hana hiyo hela,ulikuwa unamhifadhi wa nini? Lazima alikosa hela akawa na kingine zaidi ya pesa.
Sijawahi kuombaHakuna limwanamke la tz ambalo haliombi kwenye mahusiano,shit!
Ww rudisha 2 vitu vya watu. Kama una uwezo wa kurudisha Mara 10. Kwann unaomba msaada wa mawazo hapa.....?Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Usirudishe kilichoenda kwa mganga hakirudi!Nilkua njiani kurudsha wigi aliloninunulia ,,ila nmesoma comments hapa,narudi nalo tu
Nitakua namuonea maana hata utamu wenyewe alikuwa hanipi vizuriMdai time na utamu wako babes
Kaka yako hana chake akafie mbele ukoRudisha vitu vya kaka
Stahiki yake ndo anaipata sasaacheni tabia za kimasikini mpatie stahiki yake binti