The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Halafu mkipigwa mtungo mnajifanya victimsAlitoa kwa mapenzi yake sikumuomba akwende zake
Issue sio kumwagiwa,ila si alishakunyonya papuchi na kuichezea chezea kwa kuishika shika mpaka ikatepeta?Sijawai kumruhusu animwagie mtu mwenyewe hana hela ya nini animwagie anitie gundu!
Hizo link ya jf huko fb... lafiliraahi karibuniMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia π utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Ingawa si lazima lakini kama uwezo unao kama unavyodai bhasi mrudishie kuondoa bugudha then mute kabisa katika diary ya ubongo wako.Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia π utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.