Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay.Red meat inashida sana.
Dodoma hiyo siyo ? Safi sana.Hapa nilipo nimefunga safari ya nusu saa kuja kula nyama kigwe from town
Dodoma hiyo siyo ? Safi sana.
Samaki nipo selective sana mpaka aungwe na nazi au soup ya samaki tu.Naomba muanzishe uzi wa wanaopenda kula Samaki bila kuchoka
Maana hapa mmetubagua [emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza ndugu..hasa nyama nyekundu ni hatari kwa afya..unaweza kuanza kupunguza kwa kuzidisha samaki samaki na kuku..nyama nyekundu iwe mara moja moja sana..ukila nyama kitu muhimu ni parachichi sio wine..parachichi ndilo linaloondoa uric acid ambayo umeila kwenye nyama na ndio huleta shida kubwa ya tumbo.Ahsante.
Huwa tunaiyeyusha na wine.
Kigwe mnada huwa ni Ijumaa, siyo Jumamosi.Safi sana.
Mnada bado upo jumamosi?
Sahihi kabisa.Ni kila ijumaa mkuu
Kuna option ya kuedit post kama umekosea mpendwa.
Mimi nikienda sehemu ambayo Mimi ni mgeni siwezi nunua nyama maana naogopa kula nyama za wanyama wasio liwa kama Mbwa, paka, fisi, N.KSamaki nipo selective sana mpaka aungwe na nazi au soup ya samaki tu.
Huwa sipendi wa kukaanga wala kuungwa na nyanya tu.
Kansa,Hivi hakuna madhara yoyote ya kiafya yanayotokana na kula sana nyama ?