Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Ameegemea upande wa uhalisia na sio nadharia, hao watajwa wanakula tena mbichi, kwa muktadha huo basi kusingekuwepo na hiyo jamii kabisaa.Huyu mrembo Culture Me anajenga hoja ya kama kungekuwa na madhara basi Wamasai na Wamang'ati wangepukutioa sana, sasa sijui ameegemea upande gani mpaka akafikia hitimisho hili.