Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Sawa nasubiriHiyo ni PM kule. Ukiweka hapa, wale wasiojulikana hawachelewi kuvamia shoo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nasubiriHiyo ni PM kule. Ukiweka hapa, wale wasiojulikana hawachelewi kuvamia shoo...
Umeona sasa, kube kuna vitu bora usimuliwe tu ndiyo huwa vinanoga.Yuck, sijawahi na siwezi [emoji1785]
Sijawahi na kwanini nile chura ?Ushawahi kula chura?
Kwanini unakula Samaki?Sijawahi na kwanini nile chura ?
Sababu hanidhuru, na imani yangu inaruhusu hilo, ama chura sijaona kutokufaa kwake kula ila mimi sili sababu si katika ada na desturi zetu.Kwanini unakula Samaki?
Yaani baada ya kula kama siku ileee??? Unaikumbuka au nikukumbushe?
View attachment 1469960
Niko kwenye dozi ni mwendo wa Kei kama kawaida.... yaani Kokakola....
Utanipa?
Maharage toka nina mimba yalinikataa kiungulia kikali sana.Mimi nyama hata kuirudia siku moja hiohio nachoka. Nikila mara moja kama mchana tu au usiku tu. Mimi Bora Nile vegetables na maharage tu kuliko nyama kila siku.
Chakula kikikosa maharage pembeni aseeeeh nakula basi tu .
Cc Smart911
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Waache kusingizia nyama mambo ya ajabu ajabuNilifuliza kula mdudu nusu kwa siku moja kwa kila wiki katika wiki tatu. Kuna jamaa akasema hiyo si nzuri kiafya bado kidogo nimzabe kibao huwa sipendi mtu ailaumu nyama kwa magoniwa yake binafsi ebo!
Mdudu Choma 😋😋😋 aisee kesho naenda ku manga hii kitu!