Umeshawahi kuchoka kula nyama? Wapenda nyama tukutane hapa

Umeshawahi kuchoka kula nyama? Wapenda nyama tukutane hapa

Mimi ilishawahi kunikinai,ajira yangu ya kwanza nilipangiwa Lindi liwale,ikumbukwe kule hifadhi ya taifa ya selious imepita.

Ile nafika tu kesho yake nafuatwa na watumishi.wenzangu kuwa kuna nguruwe pori kafa sehemu twende kukanunue,pia ikumbukwe wakazi wa liwale ni waisilamu kwa asilimia kubwa hivyo ilikuwa wakiua nguruwe pori wanatuletea sisi,bwana wewe kwa hamu niliyokuwa nayo nilinunua paja na kukaanga,nilikula wiki nzima

Kiufupi ilikuwa haipiti siku hujala nyama,Mara nyati,tembo ,pundamilia ,swala ndo usiseme,kilo takribani tano unauziwa kwa sh 5000/= tu ,ilifikia kipindi nyama ilinichosha nikawa sina hamu tena

I miss those moments
 
Mbona nyama zinachosha sanaa tu.kila kitu kinachosha lakin inatofautiana viwango nyama inachosha afadhali maharagwee samaki wa kuchagua sanaa ila kambale anachukua mda kukuchosha.
 
Binafsi napenda sana nyamaa, ila kuna mda unafika najionea huruma mwenyewe na kuanza kupunguza matumizi, japo kwa mbinde
 
Akimaliza kula umuwekee na K pembeni atakulaki hadi mawinguni....

cc Asprin

Ooohhps!! the 'K' I meant K Vant.

Yaani baada ya kula kama siku ileee??? Unaikumbuka au nikukumbushe?
1591425559716.png


Niko kwenye dozi ni mwendo wa Kei kama kawaida.... yaani Kokakola....

Utanipa?
 
Waliopo Dom leo nyama choma Msalato, mwenye nafasi anijoin tukafanye yetu
 
  • Thanks
Reactions: amu
hallelujah
hebu naomba bei na location kabisa..
(japo wanasema chakula hakiuliziwi bei!)
Yaani wewe tena? Yaani kamata uber kwa gharama zangu...

Hakikisha unakuja without kabisa ili utamu ukikolea tusipoteze muda...
 
Back
Top Bottom