Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

Wow, asante sana. Hata mimi nilianza kujiuliza hili swali. Nilipokuwa naona watu wanazikwa najiuliza kuwa na mimi ipo siku nitazikwa, je mimi ni nani? Kwanini nauacha mwili wangu? Kuna muda unaamua kutafuta sehemu tulivu na kuanza kuvuta taswira ya maisha na kujikuta unaona kuwa kuna mengi ya kufahamu zaidi.
Kumbe tupo wengi niliona comment ya Nifah nikashangaa sana

Ipo siku tujaribu na tunaweza kurudi kule

nilikua najisemea kwa utulivu mimi mimi mimi mimi napaa napotea hali ile haielezeki
swali hili nilikuwa najiuliza zaman. na nilkuwa nabaki kujishangaa. lkn kwa sasa hata nikitafakar haitokei tena hali ile.

Mambo yamekuwa mengi! but you can go back to your childhood status only if u choose for a few minutes to throw away everything for a while

mi tangu utotoni nilishajiulizaga sana hili swali nikawa sipati jibu kamili,nikawa siamini kama mimi ni mimi,maana najua watu wanakufaga na kuzikwa,same to me nitakufa,lakini kwanini mimi ni mimi hivyi nilivyo na sio vile walivyo,je nafanyaje hapa duniani?niishi tu halafu nife itasaidia nini basi huo uwepo wangu ulivyokuwa humu duniani?je wavumbuzi wa vitu mbalimbali wamemaliza kazi yao ya kuwepo hapa?najiulizaga hata sasa sema kuna kitu kinanitokea labda cha kutia uvivu nasema ipo siku nitaenda mahali fulani tulivu labda nitajua ila majukumu ndo cku haifikagi tu,ah haya bana ila naaminigi kama natakiwa nifahamu nitafahamu tu hata kwa bahati mbaya,coz ctaki kujua baada ya kufa maana cjui nitamlaumu nani.
 
Hili swali nilikua najiuliza sana kipindi nikiwa mdogo.Hasa nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele yoyote.Hadi nikawa najikuta najishangaa mwenyewe!
Lakini siku hizi kila nikijaribu nashindwa sijui kwanini!
kaa sehemu iliyotulia sikiliza pumzi yako be an occupied
 
Sasa hivi kichwa kina mambo mengi,stress kibao...
Maisha magumu.
Ukijaribu kujiuliza hilo yanakuja mambo kibaooooo!
Ukubwa jaha.. [emoji25]
Kweli nimeshangaa sana mwanzoni
sijui kwa nini sikuuona uzi huu mapema...

kweli mambo ni mengi
zamani raha sana acha watoto wafurahi
 
Lengo langu la maelekezo haya:

Ni kukufanya utafakari kwa kina kuhusu urself. Wengi wanajitambulisha na kujiaminisha identity ambayo sio ya KWELI. Hivyo jichunguze, angalia vinavyopita kisha vitoe vyenye mwanzo na mwisho.

Ego ni false personality ambayo mtu anaishikilia maishani mwake. True Self is permanent, is not limited with time and space. Na true self is the true nature of every being and every thing is the universe. Just focus on yourself and realize it. Sio imagination, its REAK. True self is the REALITY.
what a lot of rubbish!
 
Samahani sana kwa kuchelewa kuiona hii comment. Umejitahidi sana kujibu. Lakini mkuu hata hivyo ulivyovitaja navyo vinapita. DNA sio identity yako bali ni identity ya Mwili ulio nao sasa. Ukifa unaacha DNA zako kwenye mwili wako. DNA ni kama code ambayo inajitengeneza pale mbegu mbili zinapoungana na chembechembe zako zinakutana na kushuffle kutengeneza code mpya ambayo haitapishana sana na code za mbegu zilizoumba. Ndio maana unafanana na ndugu zako.

KUhusu space na time, space na time is an illusion. NI kama vile ilivyo kwenye matter. Matter is energy. Hivyo kila uonacho ni energy na sio matter kama unavyoona. Ukichunguza deep labda ka microscope nzuri utaona ni energy zinavibrate katika shapes tofauti na katika vibration tofauti kutengeneza reallity.

Ila ukitaka kujua wewe ni nani angali ndani yako. Usijidefine kwa vitu vinavyopita kama vile jinsia, muonekano, mawazo, maisha n.k kwani vyote hivi unaviacha hapahapa duniani.
Mkuu umetisha, nakubaliana nawe sana.
Ngoja niendelee kusoma comments za wadau, nitarudi kuchangia inputs zangu, maana nami ni muumini wa haya makitu uliyouliza
 
Asante sana. Finally umeweza kuchambua kimoja kimoja na kutoa taka zote na kubakia na ambacho ni wewe. Ubarikiwe nawe pia. Asante sana.
Ni kweli mkuu huyu jamaa kaongea kile nilichokuwa nasema nitakuja kukiongea.
I think, this is an introduction regarding your question..
Nasema introduction maana kuanzia hapa tunatakiwa tuchambue kila kimoja na kazi yake pamoja na limitations zake, nevertheless tujue which one will bring us to the conclusion..
 
Yeah mada nimeipenda sana kuliko kawaida! Hadi nimetokwa machozi kwa jinsi nilivyofurahi! Nimesoma juzi na leo tena nimependa kurudia kuisoma!

Wewe ni: roho + mwili + nafsi kwa pamoja. Wala wewe sio huyo unaembiwa kuwa ni wewe!

Mwanadamu anakuwepo kwenye mwili na roho exactly at the same time. Kazi ya nafsi ni kuitafsiri lugha ya roho/mwili. Nafsi ni mtafisiri kwa maneno mengine ni mkalimani wa roho na mwili. Kama nafsi hakuna maana yake ni kuwepo mwili na roho hazitaweza kuelewana!

Ikumbukwe roho ana lugha yake na mwili una lugha yake. Ili zipate kuelewana mtafsiri anapaswa kuwepo naye ni nafsi. Huyu nafsi ndo ufahamu kwa maneno mengine, kumbuka kuwa kama huna ufahamu huwezi kutafsiri.

cc: Apollo na nifah

Hii mada imenibariki sana!

Exactly & Excellent
 
Mi hadi nimeamua kuishia njiani maana ananifundisha jinsi ya kujisali mimi mwenyewe alaaaaaaa
 
Mkuu apolo kuna kipindi nakua nimelala na nahitaj kuinuka labda niende kukojoa huwa napata shida sana some times najaribu kufumbua macho najiona kama nimeamka alaf nikithibitsha najikuta bado sijaamka huwa najitahid kujigeuza nipate kuushtua mwili njiona kabisa nikiwa najizungusha ila mwili unagoma kuzumguka najitahd mpaka nafanikiwa kama nntatumia nguvu nyingi sana nkiamka BA's mapigo ya moyo humienda mbio sana na kama sijatumia nguvu nying huamka kawaida mm nahs hata watu walio ndani ya koma wanhitaji kuinuka na wanahis kufanya mambo Yao kama wao ila mwili unakataaa nahis nguvu ya ndani yetu imeunganishwa na kitu kutuunganisha na mwili huu wa nyama bila ya hiyo konektion mwili utaendelea kubaki wenyewe na hakuna kinachotokea mkuu apolo haya no mawazo yangu kupitia mawaz yangu najua unajua zaid naonmba uyaelezee haya mambo kW kina kidogo
 
Yupo sawa huyo mkuu sababu ss wote hapa ulimwenguni asilimia nyingi hatujitambui wapo wengi bado wanajiuliza wao ni akina nani na wanaumuhimu gani kuwepo kwao hapa duniani . Lkn nimemfikilia sana huyo mkuu nimeona hiyo hoja ni hoja ya kiroho . Wapo wanaojitambua kiroho pia lkn vigumu sana kuaminika pindi wanapojiielezea na wengine wanajitambua lkn wanauchuna . Wapo pia wanaojitambua kikawaida mfano labda mi naitwa Juma n.k.

Kaongelea kiroho huyo ! Tuambie mkuu w nani mwenzetu !
 
Mkuu apolo kuna kipindi nakua nimelala na nahitaj kuinuka labda niende kukojoa huwa napata shida sana some times najaribu kufumbua macho najiona kama nimeamka alaf nikithibitsha najikuta bado sijaamka huwa najitahid kujigeuza nipate kuushtua mwili njiona kabisa nikiwa najizungusha ila mwili unagoma kuzumguka najitahd mpaka nafanikiwa kama nntatumia nguvu nyingi sana nkiamka BA's mapigo ya moyo humienda mbio sana na kama sijatumia nguvu nying huamka kawaida mm nahs hata watu walio ndani ya koma wanhitaji kuinuka na wanahis kufanya mambo Yao kama wao ila mwili unakataaa nahis nguvu ya ndani yetu imeunganishwa na kitu kutuunganisha na mwili huu wa nyama bila ya hiyo konektion mwili utaendelea kubaki wenyewe na hakuna kinachotokea mkuu apolo haya no mawazo yangu kupitia mawaz yangu najua unajua zaid naonmba uyaelezee haya mambo kW kina kidogo
Hii hali hata mimi huwa inanitokeaga japo si mara kwa mara...unaweza kuhisi kama umekabwa au umezibwa usoni

Lkn niliwahi kuambiwa kuwa ni majinamizi ndiyo yanakuwa yamekuingilia hvyo yale yote unayoyafanya yanakuwa katika mfumo wa ndoto ila mwenyewe unaona kama ni uhalisia
 
Mimi ni mimi, wala sifanani na yoyote, wala hatazaliwa kama mimi. Mimi ni roho (uhai) niliojificha ndani ya mwili. Ndani ya mwili kuna vitu vitatu visivyo onekana, roho, nafsi na akili. Roho ndio uhai wenyewe. Nafsi inahusika na matamanio na Akili inahusika na mamuzi. Mwili hupelekeshwa tu.
 
natamani nikuelewe bt nashndwa kabsa. unamaanisha nin apollo.....?

Ni mada ambayo tunajaribu kujitafakari sisi ni nani. Wewe ni nani? Wanadamu hatuwezi kufikiriana (kutumia akili yako na ufahamu wako kukutafakari). Hivyo inahitaji utambuzi wa hali ya juu.
 
Hebu weka picha tuone

Picha haiwezi kusaidia ndugu. Utajikuta unachukua Physical parts ambazo zinapita na wakati. Hata picha yako ulipokuwa mdogo na sasa hazipo sawa. Yule sio wewe tena. Mwili wa picha za utotoni sio sawa na mwili wa sasa, cells zimeshabadilika, na biologically kuna changes zimeshafanyika na hauna chembechembe zile kikamilifu kama ilivyokuwa. Kuna some parts zimechange. Pia uzee na kifo vinamaliza hiyo part ya physical uliyonayo kwenye picha.

Maisha ni kama mto. Maji yaliyopo hivi sasa hayapo kesho. Kila sekunde maji yanaingia na mengine yanatoka.

Nothing is permanent in this world. Especially physical properties
 
Back
Top Bottom