Nashukuru Mtaa wangu mabibo haujatajwa kwenye usengeBila shaka huyo kijana atakuwa wa dasalama, Sinza, kinondoni, tabata, mbezi beach.
Lishangazi na limama tofauti yake ni nini?Yani unataka kusemaje
Mimi siyo limama ni mshangazi na nina kijana wangu nimemzidi 15 years, anasema anipenda kila siku na mimi ndiyo tulizo lake. Sitakiwi kumuamini au?
Ulifanya maamuzi ya kiume haswaA-level Mwakavuta high school 2015, nilikuwa na hali ngumu ya maisha, rafiki yangu kwao palikuwa mambo safi, akawa ananisaidia mambo madogo madogo ya matumizi.
Siku Moja akaniambia nimfire anipe 50,000 nikashtuka sana maana sikutarajia kama jamaa ni mchicha mwiba. Niligoma na ushkaji ukaishia hapo.
Nimeisoma kwa hisia sana, Anyways staki kumbuka nlivopoteza mwanamke aliyenipenda kwa dhatiπ€Kuna mtu nishawahi mpenda,afu akashindwa kuthamini upendo wangu kwake....aisee,mwamba.... nilikuwa real kwake...
Kwa upendo niliokuwa nao juu yake,I swear... nilikuwa tayari kuacha kilakitu...yaan kilakitu...
Wanaume, mwanamke akikupenda afu akawa na hasira sana juu ya matendo yako mabaya unayomfanyia....yaan hasira muda wote ila haondoki anavumilia...huyo mthamini,yupo tayari kukubeba kwa namna yoyote ile.
Kupenda kupo ila sema wanaume mnapoteza wake zenu wa maisha kwa sababu ya kauli mbiu yenu eti anaomba hela...ulitaka amwombe nani? Kakuomba Mara ngapi baada ya kumpa Mara ngapi?....
Hii dunia tutaendelea kuyaogopa mapenzi kwa sababu ya kujawa na ubinafsi....Kuna mabinti mnawachezea,wanalia machozi mnaona sifa na kujitutumua ....lakini nawaambieni ukweli....hawalii kuigiza,wanahisia nanyi...
Nimeandika mno,nilimaanisha upendo wa kweli upo,na mtu akishapenda haoni shida kupoteza kilakitu kwa sababu ya upendo.π₯΄
Inaumiza sana,na haitokuja tokea ukapata akupendae kama yule, lazima kupunguka katika new family kuwepo...Nimeisoma kwa hisia sana, Anyways staki kumbuka nlivopoteza mwanamke aliyenipenda kwa dhatiπ€
Kweli kabisa, ila ndo yalishatokea hatuna budi kusahau πInaumiza sana,na haitokuja tokea ukapata akupendae kama yule, lazima kupunguka katika new family kuwepo...
Yeah sure πKweli kabisa, ila ndo yalishatokea .
Ngoja tusubiri mrejesho π π π ili tukagawane, Frem nakuachia, Gari narudi nalo TangaNaomba kwenye mgao uniweke na mimi πΉ
Hapo umeongea, wakinga zetu frem πΉπΉNgoja tusubiri mrejesho π π π ili tukagawane, Frem nakuachia, Gari narudi nalo Tanga
Mnapenda pesa nyie watu ππΌ πHapo umeongea, wakinga zetu frem πΉπΉ
Sasa tupende nini dunia hii πΉπΉMnapenda pesa nyie watu ππΌ π
Hahaha! Duh! Kwa hii comment Kumbe Recho wangu alikua bado kigoli.Yani unataka kusemaje
Mimi siyo limama ni mshangazi na nina kijana wangu nimemzidi 15 years, anasema anipenda kila siku na mimi ndiyo tulizo lake. Sitakiwi kumuamini au?
Hahah mwakavuta advance yangu hiyo, hata mm ushkaji ungekata hapoA-level Mwakavuta high school 2015, nilikuwa na hali ngumu ya maisha, rafiki yangu kwao palikuwa mambo safi, akawa ananisaidia mambo madogo madogo ya matumizi.
Siku Moja akaniambia nimfire anipe 50,000 nikashtuka sana maana sikutarajia kama jamaa ni mchicha mwiba. Niligoma na ushkaji ukaishia hapo.
Rafiki yetu bado anampenda na yuko tayari waendelee kama atakubali kuchepuka akishaoa.Jamaa hakupaswa kumwambia ukweli huyo binti. Ye angemuelekeza huyo Mshangazi. Mbona washangazi ni waelewa.
Kabla ya mei mosi jamaa atarudi akiwa analia na kusaga meno.
Wahenga si wajinga kusema; ukipata kipya usitupe cha zamani.
Inavyooneka hicho kikundi chenu cha Mashangazi, mpo serious na maisha.
Lishangazi / Mshangazi - 37 to 50 (yuko single hajawahi kuolewa au aliolewa akaachika au kafiwa etc. - mkubwa na amekupita kuanzia miaka 10 mpaka 20 ana T3).Lishangazi na limama tofauti yake ni nini?
Kunywa pole pole usiunguze ulimi!