Satan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,482
- 2,260
Jamaa hakupaswa kumwambia ukweli huyo binti. Ye angemuelekeza huyo Mshangazi. Mbona washangazi ni waelewa.
Kabla ya mei mosi jamaa atarudi akiwa analia na kusaga meno.
Wahenga si wajinga kusema; ukipata kipya usitupe cha zamani.
Inavyooneka hicho kikundi chenu cha Mashangazi, mpo serious na maisha.
Kabla ya mei mosi jamaa atarudi akiwa analia na kusaga meno.
Wahenga si wajinga kusema; ukipata kipya usitupe cha zamani.
Inavyooneka hicho kikundi chenu cha Mashangazi, mpo serious na maisha.
