Umeshawahi kuletewa nyodo na mhudumu wa kike?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Vihudumu vya bank hasa visichana vinakuaga na dharau sana. Mimi sehemu ninayokua mpole ni hospital na polisi tena kama ninayemfahamu hayupo. Sehemu nyingine moto nauwasha saa yoyote
[/QUOTE
Mkuu mi hata hao wakinizingua wajipange kichwani
 
sijamzingatia mkuu maana kulikuwa na kagiza ka asubuhi ila nahisi atakuwa yy nilimpelekea moto karbia kumpga makofi dogo akanishika nadhani akirudi atamwambia jinsi nilivyo maana yule dogo nahisi wanamfaham

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo Hilo Kuna siku tulikuwa na brother tunahitaji mafuta linaleta mashauzi nikampigia Meneja kumbe Meneja ni ndugu yake yaani anamwita baba mkubwa, jamaa alipofika akamfokea sana lakini bado Kuna matatizo
 
Tatizo Yule mzee ambae sijui ndo meneja kawajaza wanafamilia pale hivyo wengine hawajali Wateja
 
We jamaa ni pimbi sana ila tu haujui
 
Mkuu ukiweka uzi, bas jarib kutupa maelezo kuhusu hyo story, tupe pa kuanzia na sisi wachangiaji. Kutupa tuu tiltle ya uzi bila kutupa maelezo yako kama ilitokutokea ww au jamaa yake wa karib haionog kabisaa
 
Dah mimi leo nimeenda banda la Mpesa natuma hela, namsalimia huyo dada haitikii afu kakaa ananiangalia kidharau, nikaanza kupaza sauti nimekusalimia unamaanisha hujasikia ama? Eti kinabinua mdomo, karibu, nikamuuliza nataka kutuma pesa kiasi fulani eti ndiyo kamenuna kabisa hadi ikabidi nihudumiwe na kaka mwingine waliekua wote hapo ofisini.

Mwingine mkoani huko tena mbaba, nilikua naulizia mifuko fulani hivi ya kuvunia mpunga, huwa inatofautiana size, nikamuuliza ipo akajibu ipo na bei akasema, eti namuambia naomba niione size yake hee akanijibu vibaya 'nimekwambia mifuko ipo huniamini ama? Duh namimi nikapata hasira nikamwambia basi acha tu si wewe peke yako unayeiuza bana. Nikaenda next duka akiwa ananiona huyo akanionesha ilivo hiyo mifuko na akaikunjua kabisa nikaridhika nikanunua tena mingi tu. Nikaona ananicheki nikajisemea nimekukomesha.
 
Sasa uliitwaje kwenye interview wakati unasema bahasha aliitupa pembeni kwa dharau?
 
Mara kibao tu, ila unaishia kuwaacha na maisha yao siku moja watajifunza heshima.

Kuna mmoja huyo alikuwa demu wa rafiki yangu, tumekutana fresh tumesalimiana na mshikaji yeye akawa kimya nkamsalimia akajibu kama hataki vile, haikuwa ishu kwangu.

Mara jamaa akamwambia huyu ndio yule jamaa nilikuambia nitaku connect naye ufanye intern firm yao, ndio demu akajichangamsha na kuita ita shemu.
 
Daaah watu wana roho mbaya dunia hii, hv inakuaje unamfanyia mwenzako roho mbaya kiasi hicho jaman, daaah pole bro, mm naamini MUNGU ndio mgawa ridhiki, na sikuzote MUNGU mwema, we endelea kuamini katika ahadi za MUNGU cha muhimu uvumilivu tuu
 
Kwa roho yangu ilivyo mtu asinifanyie ubaya utakaoniumiza. Maana nikilipa kisasi nakifanya vibaya.
Eg. Kuna nesi sehemu flani ana mdomo anafokea sana wajawazito, mimi nikaenda pale kupigwa sindano akanifokea pia maana alinihudumia yeye. Juzi nimemrudia niliplan nimdunge sindano ya shavuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…