Usikate tamaa mkuu pambanaKtk kuhangaika na maisha haya kuna procurement officer mmoja wa TARURA kamiletea nyodo sana maisha haya huyu bwana daaaaa moyo wangu umeumia sana ipo siku
Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Kuna bar moja nikwenda. Kufika tu akajipendekeza bar maid mmoja kuja kunihudumia. Basi nikamwambia akaniletee supu ya kuku jikoni na yeye achukue yake. Dakika tano nyingi supu hizi hapa. Huku nnaendelea kusoma gazeti na kunywa supu. Nikamwambia aniletee castle baridi na yeye achukue yake. Dakika nyingi beer ziko mezani. Nikaagiza castle ya pili na yeye nikamwambia achukue yake. Baadae kidogo nikaomba bili nilipe niondoke. Kabla sijawasha gari namuona huyu ananikimbilia na kuniambia. Kaka umesahau kuchukua namba yangu......
Vihudumu vya bank hasa visichana vinakuaga na dharau sana. Mimi sehemu ninayokua mpole ni hospital na polisi tena kama ninayemfahamu hayupo. Sehemu nyingine moto nauwasha saa yoyote
[/QUOTE
Mkuu mi hata hao wakinizingua wajipange kichwani
Ndo Hilo Kuna siku tulikuwa na brother tunahitaji mafuta linaleta mashauzi nikampigia Meneja kumbe Meneja ni ndugu yake yaani anamwita baba mkubwa, jamaa alipofika akamfokea sana lakini bado Kuna matatizosijamzingatia mkuu maana kulikuwa na kagiza ka asubuhi ila nahisi atakuwa yy nilimpelekea moto karbia kumpga makofi dogo akanishika nadhani akirudi atamwambia jinsi nilivyo maana yule dogo nahisi wanamfaham
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakata tamaa najua nitatoboa tu sio muda mrefuUsikate tamaa mkuu pambana
Tatizo Yule mzee ambae sijui ndo meneja kawajaza wanafamilia pale hivyo wengine hawajali Watejamimi nimekiwasha leo nimeamka asbh nakuta mtoto kachemka kwenye mida ya saa 11 asubuhi hivi ikabidi nimkimbize hosptal ya makole, kwenda kuwasha gari nikakuta haiwaki betri limezima, ikabidi nuimtafte dereva wangu wa bajaji ile asubuhi chap akaja akatupakia na dogo kutukimbiza hospital agakani tumefika SHELI YA PUMA iliyopo oposite na JENGO LA TANESCO jirani kidogo na ofisi za yadi ya jiji la Dodoma dogo kaingia sheli cha ajabu mwanamke mmoja mhudum anatuanfgalia kama boss alafu anatufokea kwa kweli mungu anisamehe nilitoka bila dogo ningemwasha vibao yaani yule mjinga anatuvimbia na ni kazi inayompa ugali>?
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ni pimbi sana ila tu haujuiKuna bar moja nikwenda. Kufika tu akajipendekeza bar maid mmoja kuja kunihudumia. Basi nikamwambia akaniletee supu ya kuku jikoni na yeye achukue yake. Dakika tano nyingi supu hizi hapa. Huku nnaendelea kusoma gazeti na kunywa supu. Nikamwambia aniletee castle baridi na yeye achukue yake. Dakika nyingi beer ziko mezani. Nikaagiza castle ya pili na yeye nikamwambia achukue yake. Baadae kidogo nikaomba bili nilipe niondoke. Kabla sijawasha gari namuona huyu ananikimbilia na kuniambia. Kaka umesahau kuchukua namba yangu......
Sasa uliitwaje kwenye interview wakati unasema bahasha aliitupa pembeni kwa dharau?Miaka hiyo,nilipeleka maombi ya kazi sehemu,mama wa makamo ndiye alikuwa mapokezi,akaichukua bahasha yangu na kuitupa pembeni kwa dharau,nikaondoka nikisononeka....nikaitwa kwa usaili,na kupata ajira pale,yule mama akaondolewa kule mapokezi akawa muhudumu na kutuhudumia chai,....basi siku moja nikamkumbusha,alijisikia vibaya na kuanza kuniogopa na kunikwepa...lakini baadae tuliyamaliza angekuwa binti ningemtafuna tu aisee.
Malaya Lile linajiuzaga hapo chako ni chakoKwanza pole mkuu kwa kuuguliwa. Pili hongera, Hilo Dada Tipwatipwa fulani jeusi Lina kipini puani mkuu?
Daaah watu wana roho mbaya dunia hii, hv inakuaje unamfanyia mwenzako roho mbaya kiasi hicho jaman, daaah pole bro, mm naamini MUNGU ndio mgawa ridhiki, na sikuzote MUNGU mwema, we endelea kuamini katika ahadi za MUNGU cha muhimu uvumilivu tuuEnzi hizo za ujana wangu, kuna kipindi nilipeleka maombi ya kazi PPF, kuna mama wa makamo mapokezi aliniambia niweke bahasha langu tu mezani yamefika.
Kuondoka nikawa tu na wasi wasi sijasaini popote kuwa nimeyafikisha maombi yangu salama nikarudi lile bahasha halikuwepo mezani kuangalia vizuri niliona tu bahasha la kaki limewekwa kwenye dustbin zile nyeupe na linafanania na langu 100%(kuna mikunjo kabisa ya ile bahasha nilikuwa naiona).
Nikazuga kwa upole kuna sehemu juu sijaandika vizuri anuwani ili anipe nifanye marekebisho ili nione kama ndio hilo alilolitupa akakataa, niliwaka aisee nataka nionyeshwe bahasha yangu au anaona aibu kwa kuwa ameitupa, mwisho wa siku kuna braza mmoja na suti yake aliita mlinzi mmoja nikatupwa nje, sikuitwa hata interview😡
kama ndio hilo nilipumbavu nlikuwa naenda tabora nkapita pale na crown likawa kama linajifanya libosi kenge lileKwanza pole mkuu kwa kuuguliwa. Pili hongera, Hilo Dada Tipwatipwa fulani jeusi Lina kipini puani mkuu?
kumbe ? kenge kabisa lileMalaya Lile linajiuzaga hapo chako ni chako