Umeshawahi kulipigania penzi lisivunjike lakini mwisho wa siku ukakubali kushidwa

me nilimuacha ila badae moyo uliumia kwa sababu niliona nmefanya ukatil sana na aliamua kuhama kabsa mkoa kwa ajil yangu.uyu dem tulipendana Sana hasa yy ndo alinipenda kupindukia

ilifikia hatua akata kunywa sumu et kisa mimi.

unajua mpaka naanza kumuona wa kawaida yaan sio mzuri ni pale nilipojiingiza kwenye inshu za kubet[emoji1][emoji1].aseee ukiingia kule kila ktu kinabadilika ado akili

ila badae nilimrudia nikamtumia naul akarud bado akazidisha mahaba nikaona isiwe kesi nikamchakata heavy game nikamjaza mimba,kuja kujifungua akajifungua mapacha bahat mbaya hawakuchukua round walifarik wote wawil.


ila sikumuacha niliendelea kuchochea upendo saiv ana mimba na huduma nampa sana tu .nategemea kumuoa mwaka kesho.

ila WANAWAKE MNAONGOZA KUPENDA SANA SINA UZOEFU NA MASILEIKWINI
 
Nililitaka kujifanya lavalava, goodboy, zee la kupetipeti ila yamenishinda aisee.

Hivi mimi wa kupiga simu more than ten times na zisipokelewe.! Kameanza kujilizaliza ila nimeapa silegezi kamba whatever the fvck it is, mamaeee
Pole mkuu wanao walikufa wakiwa na umri gani na nini sababu ya kifo chao!?

Nahisi kubadilishana uelewa na wewe!!
 
Nilitishia Hadi kujiua ... Jibu nililopewa ...kufa kwani wanaume wameisha...
Thanks Mama nanii wangu kwa kunionesha Upendo.. lakini I don't know what the future holds...
Naifurahia sasa
 
Nilishapigania penzi lianze for six years na halikufanikiwa.

Cha kushangaza yule mshenzi mpaka leo yuko single🥱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…