Umeshawahi kumla shemeji yako?

Inaweza kuwa chai au code ili bro wake asijue.....
Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
 
Uongo ni nini..? Uongo nikua 2003 alikua n laptop anaangalia movie n laptop inakaa na charge mpaka shem ake anasinzia. Chaii hii...

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala hajakudanganya, mimi nina laptop toshiba satellite A20 ya mwaka 2000 inakaa na charge 2 hours na ikiwa on standby mode inakaa na charge 6 days, kwanini yeye awe amedanganya?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama yako amejitoa kukusaidia..hayo ndo malipo yake. Hovyo kabisa..ndiyo maana wanasema wasaidie ndugu wakiwa nyumbani..kamwe usiwalete kwako
Acheni ujinga wakumlaumu jamaa Huyo mwanamke ni pumbavu kwani alilazimishwa si walikubaliana wote mavi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hainaga ushemeji tunakulaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo yapo,lakini siyo ya kuyaendekeza kwa sababu mwisho wake ni mbaya
 
Mwanamke yeyote katika mazingira rafiki kwake hutenda tendo la ndoa na mwanamme yeyote aliye karibu naye bila kujali uhusiano alio nao na huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…