mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Hawa madada wa mjini hatari sana mkuu,,,unamuheshimu kama Mkwe,,,kumbe anakumezea mate,,,duu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa madada wa mjini hatari sana mkuu,,,unamuheshimu kama Mkwe,,,kumbe anakumezea mate,,,duu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah
Hongereni sana wee na mam mkwe, ina maan wee unachungulia alipotoka mkeo, na mam anachungua anachokula mwanae, Dunia simama nishuke.Hawa madada wa mjini hatari sana mkuu,,,unamuheshimu kama Mkwe,,,kumbe anakumezea mate,,,duu
Kwani kuna tatizo gani mkuu?kwani hujawahi ona baba Mkwe anamla mke wa mwanae? Shida ipo wapi?ondoa hofu mkuu,,,pengine mkweo anakumezea mate,,wewe unaogopa fursa,,,Hongereni sana wee na mam mkwe, ina maan wee unachungulia alipotoka mkeo, na mam anachungua anachokula mwanae, Dunia simama nishuke.
Duuuuuuh acha tabia hiyo mwisho wake n fedheha na aibu. Wallah nakuambiaKwani kuna tatizo gani mkuu?kwani hujawahi ona baba Mkwe anamla mke wa mwanae? Shida ipo wapi?ondoa hofu mkuu,,,pengine mkweo anakumezea mate,,wewe unaogopa fursa,,,
Fedheha kula kuku na mayai yake? fedheha atapata Mkwe sio Mimi...Duuuuuuh acha tabia hiyo mwisho wake n fedheha na aibu. Wallah nakuambia
Unadhan hayo yakitokea jamii itaangalia mam mkwe ndo mtegaji? Wataamin wee ndio uliemshawishi mkwe uwe nae, na hat huyo mkeo ataamin hivyo ina maan umeshindwa hat kutumia busara na hekima ktk hili? Au fanya hivi imagine mkeo anatembea na baba yako, hyo hali utakayohisi ndvyo itakavyokuwa kwa mkeo akijua hili. Hebu mkatae shetani aaaaah.Fedheha kula kuku na mayai yake? fedheha atapata Mkwe sio Mimi... Sumu haionjwi mkuu,,,yeye ndiyo alianza kunitega,,,nimesha nasa na mtego wenyewe nimeondoka nao..sasa kazi kwake Mkwe..
Mimi nilishatubu, naamini nimesamehewa.Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.
Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl
Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.
Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.
Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.
Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.
Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Sawa mkuu,,,nimekusikia,,,tatizo yeye ndy msumbufu,,,Unadhan hayo yakitokea jamii itaangalia mam mkwe ndo mtegaji? Wataamin wee ndio uliemshawishi mkwe uwe nae, na hat huyo mkeo ataamin hivyo ina maan umeshindwa hat kutumia busara na hekima ktk hili? Au fanya hivi imagine mkeo anatembea na baba yako, hyo hali utakayohisi ndvyo itakavyokuwa kwa mkeo akijua hili. Hebu mkatae shetani aaaaah.
Mie shetani huyu ananivutia kasi, kuna mahali uzalendo unaenda nishinda vere suni.Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Mkuu,,sometimes kuna wakwe wanatamani waone raha za binti zao zilipo,,,kama kakukalia sawa wewe mdonyoe mkuu,,ila kwa techniques za hali ya juu..muanzie mbali mno..Mie shetani huyu ananivutia kasi, kuna mahali uzalendo unaenda nishinda vere suni.
Kwanini usimkatalie? Na iweje mkwe awe na mazoea ya kiasi hicho lazima kuna ishara ulikua unamuonesha pasipo kujua kuwa n kivutio kwake, kabisaaa kweli unadate na mkwe? Hat sielew n ujasiri wa kiwango kipi duuuuuuh.Sawa mkuu,,,nimekusikia,,,tatizo yeye ndy msumbufu,,,
Mkuu huyo Mkwe umebahatika kumuona? mkuu labda kipofu tu ndy angeweza kusalimika na mitego,,mkuu Lori linachakaa na body yake,,hilo jicho akikuangalia mkuu unajitengua udhu,,wacha mkuu,,huyu mkwe sijuwi alizaa vipi..maana yeye na mke wangu ni kama mtu na Dada yake..hawaja pishana sana...kimaumbile,,,,,mkuu mm nitapata mtihani sana nikimwacha ghafla,,akija kunichukia huyu atahatarisha ndoa yngu..ngoja nimpunguzie dozi...Mara 4 kwa week..naanza hivyo..Kwanini usimkatalie? Na iweje mkwe awe na mazoea ya kiasi hicho lazima kuna ishara ulikua unamuonesha pasipo kujua kuwa n kivutio kwake, kabisaaa kweli unadate na mkwe? Hat sielew n ujasiri wa kiwango kipi duuuuuuh.
Mmmmmmh aseeeeeh pole sana una mtihani mzito, kuushinda inahitaji hekima, busara na hofu ya Jah. Mungu awe nawe ktk kujinasua ktk hili jaribu.Mkuu huyo Mkwe umebahatika kumuona? mkuu labda kipofu tu ndy angeweza kusalimika na mitego,,mkuu Lori linachakaa na body yake,,hilo jicho akikuangalia mkuu unajitengua udhu,,wacha mkuu,,huyu mkwe sijuwi alizaa vipi..maana yeye na mke wangu ni kama mtu na Dada yake..hawaja pishana sana...kimaumbile,,,,,mkuu mm nitapata mtihani sana nikimwacha ghafla,,akija kunichukia huyu atahatarisha ndoa yngu..ngoja nimpunguzie dozi...Mara 4 kwa week..naanza hivyo..
Ahsante mkuu,,ubarikiwe sanaMmmmmmh aseeeeeh pole sana una mtihani mzito, kuushinda inahitaji hekima, busara na hofu ya Jah. Mungu awe nawe ktk kujinasua ktk hili jaribu.
[emoji120][emoji120]Ahsante mkuu,,ubarikiwe sana
nitumie namba yake PM.Nilikuwa na mmezea mate Kuna siku tulibaki ndani wawili tu kwa siku mbili,akajipodoa tukawa tunaangalia tv,nilitamani nikapiga moyo konde,
🤣😂nitumie namba yake PM.
fanya haraka sasa
Jambo la msingi nikuandaa mazingira rafikiMwanamke yeyote katika mazingira rafiki kwake hutenda tendo la ndoa na mwanamme yeyote aliye karibu naye bila kujali uhusiano alio nao na huyo.