Ramadhani921999
Member
- Sep 15, 2015
- 56
- 37
Wewe pia kwetu ni fursa.. kaka nakudm [emoji3526]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda idara Ngingine kuna Idara inaitwa Afya huko taasisi zake kujitolea tu mchongo DadekiKuna makampuni au taasisi zinakuwa na nafasi za kujitolea ila za ajira hawana hivyo hicho hakiwezi kuwa kikwazo. Na ikitokea umehitolea miaja 3 bila kazi basi pia kutakuwa na shida upande wako
PmNilitafutwa na client kazi ya transcription (Google Loft tool) lugha Chichewa na Kilingala.Ilikua ni kazi ya pesa ndefu ila Wamalawi Waka iangusha online gig kwao wanaona ni utapeli.Nikasubcontract kazi Kwa Mkenya at least nikaingiza vidola kadhaa.Client bado nipo naye na kuna kazi za translation nazipata.Kikubwa tengeneza profile nzuri tu.Adios
Uko kama mimi mkuu. Sipendi kuzongwa zongwa na mambo yasiyo kuwa na maana kikazi. Nataka nifanye kazi zangu yeye aje aangalie matokeo ndo nimsikilize lakini kuzongwa zongwa hata kazi hujakamilisha anaanza kuleta udwanzi sivumiliagi. Niliacha kazi sababu hii hii.Ongezea na number 5
Kukosa uvumilivu - hiki hata mimi ni muhanga siwezi kuvumilia mtu anaenizingua kazini awe boss awe HR awe Manager awe Supervisor akinizingua siangalii cheo chake lazima tutazinguana tu, na kimeendelea kuni-cost I can't tolerate stupidity
Happy sasa ndipo suala la networkinglinapokuja kuwa msaada.Mkuu kuna mashirika hayana hela kila mwaka yanaomba wadhamini yakakosa na unajitolea kwa sababu ndo wana ruhusu nafasi hizo unaenda nae hata miaka mitatu kibishi sometimes unabadili upepo na ni lazima kwenye CV uandike. Sio kwamba hawajakukubali bali hawana hela na unajionea mwenyewe kuwa hakuna hata mmoja alieajiriwa.
So mazingira ni mengi ya kufanya muda mrefu na usiajiriwe na ukaenda sehemu nyingine wakachukuwa ile kama udhaifu kwako kwa sababu pengine hawakupi hata muda wa kueleza kwa nn umekaa miaka mitatu bila kuajiriwa na sidhani kama ni sahihi KUDANGANYA kwenye CV kusema uliajiriwa wakati ulikuwa volunteer!
YeahHappy sasa ndipo suala la networkinglinapokuja kuwa msaada.
Umapoluwa unajitolea hakikisha umatengeneza network nzuri Ili ikitokea MTU ana connection hapo ndipo.
Ni kweli sio vizuri ukadanganya kwenye cv maana huwa wanaulizua huko ulikotoka.
PM ipo wazi ndugu
Mm nilifatwq inbox na Manager akanipa mawasiliano ya Hr wake nikafanyiwa interview through the phone..Cha ajabu hadi leo sijaitwa[emoji17]
samahan naomba nielekeze ni card ya Aina gani inayoweza kukubalika ili nipate premium linkedin mana nikijaribu card yangu inaniambia invalidJitahidi ku add watu wengi unaofahamiana na wale wanaofahamiana nao. Hata kama humfahamu we tu, a request, wengi wawe was fani yako.
Cha mhimu zaidi cv yako yote iweke pale, elezea uwezo wako na uwe na bio nzuri.
NB: usije kuweka taarifa zisizo za ukweli.
Sujui kama nimekujibu kama ulivyouliza?
Ebu jaribu kutumia airtel money, mimi kila nikiingia kujaribu inaniomba nitumie airtel money !samahan naomba nielekeze ni card ya Aina gani inayoweza kukubalika ili nipate premium linkedin mana nikijaribu card yangu inaniambia invalid
Unatumia card gani; binafsi natumia card ya equity kwa transaction zangu zote za onlinesamahan naomba nielekeze ni card ya Aina gani inayoweza kukubalika ili nipate premium linkedin mana nikijaribu card yangu inaniambia invalid
Asante em nijaribu hiyo maana pia nilijaribu Voda ila nikifika njiani nakwamaEbu jaribu kutumia airtel money, mimi kila nikiingia kujaribu inaniomba nitumie airtel money !
Jaribu kuweka pesa airtel money na u select hiyo njia.
Unajilipuwa mkuu 76,000/= per month sio poa!!
NMB ndo inanisumbua Sasa hata ikiwezekana naona inabid nifungue account special kwa ajili ya online transaction apart from NMBUnatumia card gani; binafsi natumia card ya equity kwa transaction zangu zote za online
Hao Alistair ni kama hakuna mtu amewahi kufaulu aptitude test yaoMi nilibahatikaga kufanya aptitude test ya Alistair ila sijufaulu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app