Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Ilishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal.

Lengo langu niwafuate niombe no ya yule pisi ,ili kutomfanya yule mwingne asijiskie vibaya nikajifanya kuomba no zao wote, mbaya zaidi asiye kwenye lengo ndio akajitia kiherehere cha kunipa no ,yule pisi yeye kimya tu , nikaichukua kishingo upande ,,nikajua kwa sababu ni marafiki naweza pata ukaribu na huyo, ila lengo nisijempoteza yule pisi kupitia mwenzake.

Kufupisha tu ni kwamba yule dada wa kimasai aliniganda hatari zaidi ya mwaka , ili kutomfanya asijisikiie vibaya sikudhubutu kumwambia ukweli , nikawa nawasiliana nae kishingo upande ,alipo kuja kuharibu zaidi alinitambulisha kwa yule pisi kama mimi ni mtu wake, na ile pisi ikawa inaniita shem.

Hali ilizidi kuwa mbaya zaid pale nilipotambulishwa umasaini ikafika hatua mpka kaka wa binti walipo diriki kutamka watanipa n'gombe 100 .

Kilichonifanya nikaingia mitini kabisa ni pale binti alipo fikia hatua ya kutaka kunitunuku zawadi ya bikra yake na akaniambia hiyo kwao ni zawadi kubwa kabisa ya kimila .

MpKa Leo sikuwahi kukutana na pisi kali kama yule rafiki wabinti wa kimasai , nilikuja kupata fununu karudi kwao Rwanda baada ya kumaliza masomo yao pale KCMC .
Kijana wa masandale hukupata zali la usangeni?
 
Thanks

Huu wimbo sitausahau....

Maana binti WA watu sijui alinipendea nn
Hata mimi mtu akiniambia ananipenda huwa najiuliza amenipendea nini, kwahiyo huwa nahisi kama kila anayeniambia ananipenda ananidanganya tu, ndio sababu sitaki kuhangaika na mtoto wa mtu nisije nikaingia mzima kumbe mtu alikuwa anataka kupoteza zake muda tu
 
Hata mimi mtu akiniambia ananipenda huwa najiuliza amenipendea nini, kwahiyo huwa nahisi kama kila anayeniambia ananipenda ananidanganya tu, ndio sababu sitaki kuhangaika na mtoto wa mtu nisije nikaingia mzima kumbe mtu alikuwa anataka kupoteza zake muda tu
Ni kweli, kuepuka kuingia mkenge...
 
Ishanikuta hii,na iko active mpaka sasa,dada wa watu ananipenda mnooo.Kwa upande wa kipato namzidi zaidi ya mara 4.Sura yangu sio ya mauzo.
Lakini yeye ndo amekuwa kinara wa kunihonga,anajilipua mwenyewe kwa nauli yake kunifuata niliko umbali 1000km+.
Sina mpango nae lakini daah,kang'ng'ana.
Mzeee dhambi hii 1000plus hii sio dara paka tabora hivi


Mwambie ukweli
 
Kiujumla nakaa na mwanamke ambae uvumilivu wake hkn mfano na aitokei anajua simwelewi lkn love aliyo nayo kwangu siwez simultaneously MUNGU anajua kwanza

Anamlea mwanangu nishalala sana nje amekaa sana na njaa anasema niruke ruke weeeh nikichoka niseme lkn awez kuniacha

Nadhani sabb kuu ya hii yote ni kwamba huwa sina hbr nae lkn huwa NAMTOMB* sana vzuri yaani then napita hv.

Kuna wadada wanapenda nyie acheni tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uli skonga wap mkuu😁😁 pale ni kiumeni mkuu ,hakuna maji wala kuoga ila tulikua tukipata mitoko na shule ya kike tuna waka kinyama.
Sisi tulikua watoto mjini wewe😁nyie pale hamna shule za maana za dadaz, sisi tulikua tunaita Ashira, Weru weru, Mawenzi, majengo, Machame, Msufini oyaaa 😁😁hzo bahasha, hlo disco nkikumbukaga aiseee acha tu
 
Back
Top Bottom