Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Kitu usichojua biashara sio kwaajili ya kila mtu, kuna watu wana idea ila hawajui kuzifanyia kazi, kuna watu wana pesa ila idea ya kuzizalisha zaidi hawana. Na kuna watu wana vyote sasa akizichanganya ndio hao kina bill gates.
 
Kuna mwanangu alipiga 1. mimi nikaungaunga sekondari Swaziland, mwaka 2019 tukakuta South Sudan kwenye project.Nikashangaa mimi ndiyo supervisor wake, lakini nakubali kimaarifa ya kikazi amenizidi uwezo na sitashanga anytime akiwa Boss wangu.
 
Kitu usichojua biashara sio kwaajili ya kila mtu, kuna watu wana idea ila hawajui kuzifanyia kazi, kuna watu wana pesa ila idea ya kuzizalisha zaidi hawana. Na kuna watu wana vyote sasa akizichanganya ndio hao kina bill gates.
Hakika...naielewa hii
 
Mkuu physics ni noumer,pamoja na ufaulu wote huo,sasa naishi maisha kama shetani japo nina master's ila dah!!!!! Mpaka hua najuta sana kusoma
Hahahhaaa, unaishi kama mashetani,, hapo unalinda legacy ya mwendazake kabisa.

Mimi nimeishia kwenye kadigrii tu, nimeapa siendelei tena, ngoja niisake A ya kitaa tu.
 
Form 4 nlipiga division 3 ya kuchechemea

Form six nikapiga 2 ya kuchechemea.


Kiukweli bila ajira ningeviuza hivi vyeti hata kwa laki moja nikatafute karai, mkaa na mahindi mabichi ya kuchoma maisha yaende.

Cha. muhimu hichi cheti kikusaidie kuingiza pesa tu aidha kwa kuajirika ama kujiajiri, zaidi ya hapo itabaki stori tu "yule jamaa alipata matokeo mazuri zamani"
 
Std 7, nilipata A masomo yote, na wastani A, nikachaguliwa kujiunga ktk shule 1 kongwe ni ya bweni na ni jinsia 1,

O level, nilipata div 1 ya 11, nikachaguliwa shule ya vipaji maalumu mchepuo wa sayansi,

A level, nilipata 1 ya 6,..

Naendelea kupambana na maisha.
 
Naielewa sana Advance hasa kwa PCM, PCB, PGM.

Akikaa kimya hilo ni jibu tosha.

Nilibahatika kuangukia miongoni mwa kombi hizo hapo juu, cha mtema kuni nilikiona, ila namshukuru Mungu, Physics ilinipa sana heshima
Kwani phys ya mchezo bas? Inanyoosha watu hatari. [emoji23][emoji23]
 
Phys km hukusoma tuit, afu uende special lol, wallah nilijuta yaan
 
Hongera sana, shule zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalumu niliishia kuzisikia kwenye soga
 
Sitasahau mabao niliyokuwa nayapiga kwenye chumba cha mtihani wa Physics, hahahahaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] phys bhana, inakuumbua kwenye paper, unabaki kushangaa tyuuh. Sina hamu kabisa.
 
Phys km hukusoma tuit, afu uende special lol, wallah nilijuta yaan
Wote wanaopata B na C za Advance Phyz nawaheshimu sana.

Phyz unaweza kuisoma kwa nguvu zote na ukaishia kuambulia mswaki kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…