Kwa staili hii lazima upoteeIpo hivi
Nimefanya manunuzi yangu ya nguo za jumla, Ikawa kila ninapochukua mzigo sababu ni mkubwa na bado naendelea basi naufunga namwachia mwenye duka mpaka nitakapo maliza nazungukia kote nabeba.
Pasipo kuelewa jinsi ninavyoiacha ndio nazidi kuchanganya mambo, imefika saa 9 hivi nikawa nishamaliza, ni kuanza ku kusanya sasa.
Kwa asiyefika Tandika anaweza kushindwa kukuelewa lakini aliyewahi kufika, wala hashangai kusikia ulipotea!!Nini Kariakoo, mi jana usiku nimepotea Tandika sokoni kuitafuta stendi ya magari ya kwenda Gerezani
Kwa staili liyofanya, ya kununua nguo halafu anaacha hapo hapo kisha anaenda sehemu nyingine na nyingine ili apitie baadae; my braza, hata kama unaifahamu vizuri mitaa lazima utachanganya madesa tu kwa sababu hapo issue ni zaidi ya kujua mitaa bali kujua nini ulinuua wapi!!!Bhs wewe sio mzoefu na Kariakoo, Kariakoo unatakiwa uijue mitaa yake ma majina yake mfano machimbo ya nguo ni Congo street na nyamwezi street lakin kuna mitaa ambayo inakutana na congo au nyamwezi ukijua hlo bhs kariakoo huwez potea mtu akikwambia nko agrey na congo chap unakimbia. Kariakoo kila bidhaa najua mtaaa inakopatikana[emoji119]
Huyo mimi ndo nimemshangaa kwa sababu kwa mjanja, hata kama alishapoteza network, baada ya kuambiwa angeendelea tu na safari hadi Mnazi Mmoja, na baada ya kufika pale, network zingesoma mnara za kujua anatakiwa kuelekea wapi!watu bwana mnapoteaje kkoo yaani ww unakodi bajaji toka mnazi mmoja mpka gerezani kwa 4000 wa mikoani mnachekesha
Kuna mtu ni yupo Dar kuanzia mwaka 98. Aliniomba nimsindikize kariakoo nikajua labda anataka kampani yangu tu. Kufika kariakoo ndio nikashtuka anapajua mtaa wa msimbazi na uhuru tu.Aiseee watu wa mikoani bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unapoteaje kariakoo
Mkuu wewe kiboko [emoji120][emoji120][emoji120] nimepata shule ya maana hasa hiyo Google.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana k.koo unaweza useme mwenzako yupo bussy kutafuta pesa kumbe kapoteanaaa yupo kwenye harakati za pimbi..
Maajabu ya Kariakoo kuzunguka na kushangaa umerudi duka ulilotoka ni kitu cha kawaida, dhamilia kutafuta duka ulilotoka sasa kama utalipata.
Kuna jamaa yangu naye alipoteana, inafika jioni anasema au niende polisi?????
Nikamuuliza unaenda polisi umetapeliwa? Haya lets say umedanganya ukadai umetapeliwa, haya wakikuambia tupeleke utaenda wapi?...
Kariakoo achana tuu na duka, ukiingia kule kati, kuitafuta tuu barabara kuu ya msimbazi pale polisi ni mtihani, badala ya kuifuata unaitoroka kuelekea mnazi mmoja, unakutana na mtu posta unamuuliza aggrey ipo wapi hapa?????
Au unamuuliza mtu, "huku naenda wapi?"
Mimi kipindi ndio naanza machimbo ilikua nikifika sehemu nikifanya manunuzi nikaacha mzigo, naigingia google map na search location then na save au ku screenshot, baadae nafuatilia tuu, kwa njia hio sijawahi potea, kwa sasa sihitaji uongozi wowote popote natoka...
Niliwahi kupotea Tanga usiku kwenye zile barabara zao za namba, ikabidi nirudi baharini nianze kuhesabu barabara.
Tutawapeleka mji mkongwe Zanzibar, ili mpotee mazima!!
Karikoo paache tu unaweza ukapotea ukazura weeeeee hadi ukaamua kuuliza mpita njia "hivi uliniona napita hapa"!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilishapotea mara mbili huko. Vituo vinahama sana. Nilishushwa eneo tofauti nikaamua kufuata tu watu. Ghafla naona watu wanapungua na sijafika kituo cha buza. Tandika...Nini Kariakoo, mi jana usiku nimepotea Tandika sokoni kuitafuta stendi ya magari ya kwenda Gerezani
Unadhani ishu ni kujua majina, sio ishu hiyoBhs wewe sio mzoefu na Kariakoo, Kariakoo unatakiwa uijue mitaa yake ma majina yake mfano machimbo ya nguo ni Congo street na nyamwezi street lakin kuna mitaa ambayo inakutana na congo au nyamwezi ukijua hlo bhs kariakoo huwez potea mtu akikwambia nko agrey na congo chap unakimbia. Kariakoo kila bidhaa najua mtaaa inakopatikana[emoji119]
🤣🤣🤣🤣 utaachaje kucheka sasa..Miaka hiyo rafiki yangu na mwenzake wakiwa wageni high school Dar kutoka Moshi wakapanda uda Mtoni - Kkoo. Ilikuwa weekend, kufika kkoo hawaoni soko watu wote wame shuka, wamebaki wao, wakamfuata dereva na inspekta kule mbele:
"Eti baba hili basi halifiki Kariakoo?"
"Kariakoo ipi".
"Kariakoo ya sokoni..."
Wanasema wale wababa walicheka mfululizo ikabidi wao washuke. Kukata tu kona soko hili! walisimulia tukio hili baada ya muda mrefu sana.
Kweli kabisa. Nilikuwa Bandarini pale nje ya ofisi ghafla sikujua niliko. Miaka hiyo wala hakuna pilika nyingi na siku zote tunazurura kuangalia meli na kwenda kula Babana Split maeneo ya Mkwepu. Nilijihisi niko mji mwingine kabisa nikawa natetemeka. St Joseph church naiona sielewi niko wapi. bahati akatokea mtu ananifahamu akaniuliza unakwenda cinema Avalon? ndio akili ikarudi .Mtu unaweza ukapotezwa na akili yako japo ile sehemu unaifahamu,unaweza kupotea coz akili yako inakua ipo mbali sana,ndio maana mtu akitulia,akili nayo hutoa ushirikiano na utakumbuka unapokwenda,
Kupotea ni jambo la kawaida hasa kama mtu ana mawazo,kupotea sometimes hakuhusiani na uenyeji au ugeni.
Kilichotuchekesha zaidi walikuwa wajanja na watundu sana.🤣🤣🤣🤣 utaachaje kucheka sasa..
Sema ukipotea ukimuuliza konda au Teja, tarajia kila mtu ajue, maana atataka aoshee kwako, ataongea kwa sauti kama kafungwa Sea Piano.