Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe


Bado hujaijua kariakoo mkuu, kariakoo mimi hunipotezi kabisaaa mkuu
 
Dah! Mkuu menikumbusha mbali sana enzi za Avalon cinema.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee hii nouma sanaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hatreeeee umepambana hta hvy
 
Umetishaaa
 
[emoji28][emoji28][emoji28] hadi Karume, baada ya kuona hamna maghorofa mengi ndo ukashtuka
 
Kariakoo buana[emoji846], ukifika huwa mishale ya usiku inakuwaga kama sehemu nyingine kabisa, japo me nadhani ni kutokuwa na mazoea, Nilipofika DSM kwa mara ya kwanza, nilitamani nifahamu sehemu mbalimbali, Mungu si Athumani nikawa nimezifahamu sehemu nyingi,
One day nmefika Kariakoo kutoka mkoani,mida ya saa tatu usiku[emoji38] nilizunguka kutafuta stend ya daladala hadi saa tano usiku[emoji28], Just imagine masaa mawili, na begi lilikuwa zito kinouma nouma, mara nitokelezee mnazi moja, mara kama naenda Posta, mara nitokee hadi ilipo stend ya sahivi magerezani[emoji28][emoji28] Nikawa najiuliza hivi nipo siriaz kweli, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilishaacha kwenda kusali mara mbili ajili ya kupotea hapo stone town... Kila nikizunguka nione kanisa silioni hadi muda wa kusali unaisha. Kama unataka kupotea vizuri wewe tokea sokoni darajani halafu nenda kaitafute kanisa katoliki mbona utakoma.
 
Wewe utakuwa mgeni wa jiji
 
Kama kisehemu kidogo tu kama Kariakoo unapotea, utaweza kuishi kwenye miji mikubwa kama Paris au New York kweli ?

Hii ni dharau sasa,kwani wanaoishi hizo sehemu hawawezi potea wakienda sehemu nyingine?! Hata hivyo Paris na NY pamepangika vizuri na data zake za location ni rahisi sana.Huyu unaemdharau Yes anaweza ishi hizo sehemu vizuri tu na asipotee.
 

Hapo mwisho pa kumlaumu Wife [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Nilishaacha kwenda kusali mara mbili ajili ya kupotea hapo stone town... Kila nikizunguka nione kanisa silioni hadi muda wa kusali unaisha. Kama unataka kupotea vizuri wewe tokea sokoni darajani halafu nenda kaitafute kanisa katoliki mbona utakoma.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ungechukua hata risiti angalau majina ya maduka ungekua nayo au nambari za simu. BTW Pole.
 
Nilipotea mtaa nilipo-park gari.
Baada ya kuswampa sana nikamuona dada wa parking aliyenipa risiti ya EFD yuleeee nikamfata.

Ndio akanionesha "gari ile pale... Next time unapo park uliza jina la mtaa ndio uende kwa mizunguko yako"

Nikamtoa buku nikamshukuru sana.
 
Hii ni dharau sasa,kwani wanaoishi hizo sehemu hawawezi potea wakienda sehemu nyingine?! Hata hivyo Paris na NY pamepangika vizuri na data zake za location ni rahisi sana.Huyu unaemdharau Yes anaweza ishi hizo sehemu vizuri tu na asipotee.
Why are you offended so easily my dwag ?
 
Posta balaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…