Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Kupitia yy mwenye enzi alie mkuu kupita vyote alinena na wewe kwa kutumia wale waja waliokwambia nenda ileje hakika ukuu wake umetukuka
 
Duuuuuu
 
Pm yako umefunga naomb uni pm
 
....Mlango ukafunguliwa,wana kama 5 hivi walikuwa wanasubiri kufanya test kabla ya kuanza kuzifunga puli.
Mapema asubuhi mzigo ukahamishiwa Kigamboni ndanindani huko.
Kuna mjengo ndichi kimyaa.....
Mzigo ukafungwa,wana na vibegi vyao wakagawana kila mtu na njia yake.
Dah cha ajabu mzigo ukawa hauuziki
Funzo:Mungu yupo na anaepusha
 

Hahah wapo wengi sana
Mimi nilikutana na halima mdee kipindi cha seke seke lake la covid19 si umeona jambo lake limetulia mjini hapa watu wapo busy kwa sangoma[emoji28][emoji28][emoji28]
 

Haya mambo yapo kama mtu haamini haizuii mambo kufanyika
Mlokole mwenyewe alienda kutenda dhambi inamaana maombi yalikwama
 
Aliniazima chungu anacho chemshia dawa zake mi nikaenda kupikia kisamvu.....oyaa kile kisamvu hakijawai kutokea kama kile duniani....
Yaan kilikuwa kitamu hatari halafu hakiishi kila ukipakua
Kazi yangu ilkuwa ni kutafuta unga tuu😷😷
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee hatari sii mchezo
 
Hahah wapo wengi sana
Mimi nilikutana na halima mdee kipindi cha seke seke lake la covid19 si umeona jambo lake limetulia mjini hapa watu wapo busy kwa sangoma[emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa hizi ndumba kwa nini tusiwaloge wazungu jamani na sie tutawale dunia au wao mganga wao hatari kuliko wetu
 
Eeh kwa hiyo downfall yako ni kutokana na mbususu🤣🤣🤣🤣 aise pole sana
 
Vipi anatibu sie wazee wakushusha wadhungu ndani ya sekunde 120 walau tusegee moaka sekunde 300
 
Eeh kwa hiyo waganga hawawezi i a hela zilizokuwepo vault za nmb crdb wala benki kuu?
 
Aisee mbususu noma so mateso yote hayo mbususu🤣🤣🤣🤣🤣 mtakufa vijana kisa utelezi.
Sasa bimkubwa jehovas witness hawakuleta mwanagalizi wa mzunguko aje kukuombea au mzee wa kutaniko?
 
Inaitwaje hii movie? Sir Midabwada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…