Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Kweli?
alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
 
Najaribu kukupm nashindwa madame S
 
Asee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu.

Haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
Nimecheka sana
 
Huku kuna story mob lakini hakuna hata mmoja amedhubutu kusema kwa majina fulani bin fula mganga yupo sehemu fulani amemsaidia. Hik ni kidhihirishAHAKUNA ALIYEAAIDIWA KIUKWELI
Trust me wapo sema nimeacha shirk sifanyi Tena kwanza ni kufuru kidini yangu Kwa Sasa niko100%kwa Mungu nikisema nikutajie ntarudi kule kule ila nshawahi saidiwa kuhama na mgangaa,Yaani mmeingia ofisini nilisainiwa bila kuulizwaa,nkatoka nkaipeleka mkoa Nako nikafanya the same bwana uchawi upooo na waganga wapo
Tena wa hapo hapo Dar
Tena Sasa NilIkua Kila nikienda wananikatalia au Bosi anakua hayupo,dogo mmoja akaniambia we sista una michezo ya kitoto Sanaa kesho twende kiwalani ,nikasitaa Mwisho nkaenda after a week nikaeleza shida angu,dogo mganga akasema ,"nipe jina la huyo boas",nkalitaja"akanipa karatasi imechorwa akasema"kesho nenda ila usiingie chooni na hiyo karatasi na ukitoka huko irudishe hapaa"mwamba huyooo shwaaaaa mpk Kwa boss ,sikuulizwa chochote na Mtu yeyote nkaingia nikasainiwa nkairudishwa Kwa mhusika
Nyie watuu wanaroga jamaniii
 
Ntumie hata mmoja tu inbox niende kwake na nije kutoa ushuhuda hapa
 

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…