Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Nipe number ya huyo mganga
 
Inaeza nitumia pm uniambie huyu mganga Ako wapi na number ya simu please
 
Kiwalani hii hii embu nipe connection
 
Mimi nina sheikh wangu mmoja hapo Magomeni Mwembe Chai, ni noma kishenzi. Yeye hakopeshi, ukitaka kuua mtu au kumpa mtu laana ya kuokota makopo anakuambia niletee kuku tu au nyama kilo mbili ale na familia yake.....anadedisha mtu bila hata huruma.
Ni pm number ya huyo sheikh na pa kumpata
 
Katika Dunia yaleo Kila Sekta Imekuwa na Matapeli na watu wakweli hakuna sekta iliyopure asilimia 100 bila uongo na Ukweli.

Je ,nikitu Gani Ushasaidiwa na Mganga wa kienyeji Ukaamini Waganga Wakweli wapo
 
Baba aliibiwa ngombe wote alipoenda kwa mganga akaambiwa akae atulie ndani ya siku 20 watarudishwa na wakichinja mmoja watauana wenyewe kwa wenyewe kwa visu, wakipakia kwenye gari gari haliwaki, hatimaye walikuja kuwatelekeza ndani ya hizo siku 20
 
Baba aliibiwa ngombe wote alipoenda kwa mganga akaambiwa akae atulie ndani ya siku 20 watarudishwa na wakichinja mmoja watauana wenyewe kwa wenyewe kwa visu, wakipakia kwenye gari gari haliwaki, hatimaye walikuja kuwatelekeza ndani ya hizo siku 20
Mganga anapatikana wapi huyu
 
M
kuu wewe unapenda ushirikina😂
 
Ukaishia kuwala...jinger wewe😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…