zipalapwata
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 290
- 156
Uzi hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni upagani kweli lakink upagani sio dhambi.Dini ya wageni unaita dini yako?
Utakufa maskini kwa utumwa wa tamaduni.
Dini ni utamaduni tu, kuna wa mwarabu, myahudi, muhindi, mzungu na mwafrika.
Utamaduni wa mwafrika wageni wakauita upagani.
Nipe number ya huyo mgangaNilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!
Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.
Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.
NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary
Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.
UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?
UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.
Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
Inaeza nitumia pm uniambie huyu mganga Ako wapi na number ya simu pleaseMkuu acha kuchukulia vitu personal hiyo COMMENT ni ya utani kabisa kama umeelewa kiboyo ni wewe...
Mimi nishalala kwenye makaburi sana na kufukiwa nusu mwili afu fresh tu....
Nishakunywa damu ya mnyama unaemuogopa afu fresh tu
Unaweza ukahisi umepita mashimo mengi afu bado ukawa kilaza tu kwangu mjuba...
Ni pmInaeza nitumia pm uniambie huyu mganga Ako wapi na number ya simu please
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmNaomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.
Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.
Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake.
Kiwalani hii hii embu nipe connectionTrust me wapo sema nimeacha shirk sifanyi Tena kwanza ni kufuru kidini yangu Kwa Sasa niko100%kwa Mungu nikisema nikutajie ntarudi kule kule ila nshawahi saidiwa kuhama na mgangaa,Yaani mmeingia ofisini nilisainiwa bila kuulizwaa,nkatoka nkaipeleka mkoa Nako nikafanya the same bwana uchawi upooo na waganga wapo
Tena wa hapo hapo Dar
Tena Sasa NilIkua Kila nikienda wananikatalia au Bosi anakua hayupo,dogo mmoja akaniambia we sista una michezo ya kitoto Sanaa kesho twende kiwalani ,nikasitaa Mwisho nkaenda after a week nikaeleza shida angu,dogo mganga akasema ,"nipe jina la huyo boas",nkalitaja"akanipa karatasi imechorwa akasema"kesho nenda ila usiingie chooni na hiyo karatasi na ukitoka huko irudishe hapaa"mwamba huyooo shwaaaaa mpk Kwa boss ,sikuulizwa chochote na Mtu yeyote nkaingia nikasainiwa nkairudishwa Kwa mhusika
Nyie watuu wanaroga jamaniii
Akikupa niite mbwa nimekaa paleKiwalani hii hii embu nipe connection
Ata. Mimi ni pm number ya huyo babutayari nishakutumia ndugu yangu
Ni pm number ya huyo sheikh na pa kumpataMimi nina sheikh wangu mmoja hapo Magomeni Mwembe Chai, ni noma kishenzi. Yeye hakopeshi, ukitaka kuua mtu au kumpa mtu laana ya kuokota makopo anakuambia niletee kuku tu au nyama kilo mbili ale na familia yake.....anadedisha mtu bila hata huruma.
Si uangàlie pm jamaniNi pm
HahahahahaAkikupa niite mbwa nimekaa pale
Kuna mthailand anatoa dawa ya pumu utasahauMkuu pumu inanisumbua mno, nipe connection ya huyo mganga
Mganga anapatikana wapi huyuBaba aliibiwa ngombe wote alipoenda kwa mganga akaambiwa akae atulie ndani ya siku 20 watarudishwa na wakichinja mmoja watauana wenyewe kwa wenyewe kwa visu, wakipakia kwenye gari gari haliwaki, hatimaye walikuja kuwatelekeza ndani ya hizo siku 20
Kiwalani hii hii embu nipe connection
kuu wewe unapenda ushirikina😂Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.
Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.
Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake.
Ukaishia kuwala...jinger wewe😂Nilikua machimboni pande za ishokera hela nikaenda kwa mganga Bariadi nikifika vzr bila kupotea kwakua ramani Nilikua nayo, nikapokewa na mjukuu wa mganga. mganga ni Bibi kizee kbsa, nikaambiwa utaaguliwa mda ukifika! Kweli saa9 ucku nikaitwa mganga kapandisha mizimu yake! Bandugu yule Bibi ni kwere alinipatia tangia Hustle zangu mpka kufika machimboni!, mganga akaniambia kua cku nikikuaga hpa kwangu utatembea kwa miguu utavuka vijiji vi2, kijiji cha3 utaitwa na wadada wawili watakufananisha lkn ww uwakubalie watakupikia kuku na wali pia watakukaribisha kulala nao kitanda ki1 LKN USIFANYE NAO MAPENZI KBSA! mtihani ulianzia hpo ndugu zangu kwa leo niishie hpo