mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 248
- 539
Shirk ni kiarabu, kiswahili chake ni kushirikisha ama ushirikina
Kwanini ushirikina unatokana na concept ya kushirikisha,
Ni kwamba huko lugha ya kiarabu ilipo tokea watu walio amini Mungu walifundishwa kumuabudu Mungu mmoja tu.
na wakafundishwa imani nyenginezo zote uongo ikiwemo kufanya matambiko nakuabudu miungu mengine kutatua matatizo ni dhambi kuwa suala la kuomba ni suala la Mungu mmoja tu hakuna mwengine kushirikisha maombi kwa Mungu huyo na ma vitu mengine ndio ushirikina
Ilikuwaje Bakwata ikamtambua sheikh yahya husseinShirk ni kiarabu, kiswahili chake ni kushirikisha ama ushirikina
Kwanini ushirikina unatokana na concept ya kushirikisha,
Ni kwamba huko lugha ya kiarabu ilipo tokea watu walio amini Mungu walifundishwa kumuabudu Mungu mmoja tu.
na wakafundishwa imani nyenginezo zote uongo ikiwemo kufanya matambiko nakuabudu miungu mengine kutatua matatizo ni dhambi kuwa suala la kuomba ni suala la Mungu mmoja tu hakuna mwengine kushirikisha maombi kwa Mungu huyo na ma vitu mengine ndio ushirikina
Sijui anaendeshaje biashara yake
Nakuhakikishoa atakapokufa huyo Bibi yako hayo majini na mamizimu anayoyatumia yatawahangaisha sana nyie watoto na wajukuu zake!zipo zenye faida mkuu mfano bibi yangu kijijin anapoishi ikitokea mtu amepotea au mifugo hasa Ng'ombe akipotea huko malishoni
Wanakuja kwake kumwomba msaada na akifanya dawa zake withn 2days kilichoptea kinapatkana na huwa haomb hela ya mtu ni wanarudi wenyew kutoa shukrani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Asee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu..haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
Migo migo pale sehemu ganiNilienda kwa mganga ni sheikh yupo migo migo kusema ukweli hakunisaidia kupata ajira ndio kwanza mambo yalizidi kuwa meusi.
Ila dawa zake ukichoma na ukioga wanawake unafanya kuwakimbia simu zinaita kutwa nzima na mtaani mpaka unatongozwa. Demu alikupiga kibuti miaka imepita unaona annanzisha convo inbox
Sema ilinikuta sina nguvu nikawa nawapotezea ingekuwa enzi zangu nna mkwanja sijui ingekuwaje.
Aliyekutengenezea Yuko wapiUkinipa pesa chafu ya chuma ulete au ya kuharibu ridhiki yangu najua. Mikono inaanza kuuma, mikono inakuwa ya moto ghafla, kichwa kitauma, macho kuwa mazito , mikono kuwa na kigugumizi pia.
Ukija kuniwangia Lazima nikuone ndotoni na nishtuke kutoka usingizi
Nikikikanyaga uchawi Lazima miguu iwe mizito ghafla .
sijawai kusikia ana mizimu wala majiniNakuhakikishoa atakapokufa huyo Bibi yako hayo majini na mamizimu anayoyatumia yatawahangaisha sana nyie watoto na wajukuu zake!
Mtalipa sana kwa ajili ya hayo madude ya bibi
Aah ww nilimsindikiza rfk angu mganga kapandisha mashetani sijui madude gani nilikimbia vby mno weeeh hakuna cha mganga wala nin hapa duniani zaid ya Allah.Naomba Hapa Wale Watembea kwa Sangoma Mtoe Shuhuda Zenu Mliyokutana Nayo kwa Waganga na toka Umeanza kwenda Mganga Alikusaidia nini Ukaona kabisa shida Yako Imetatuliwa kwa nguvu ya Mganga , ikiwezekana mtaje Mganga Alipo nawengine wakauone uwezo wake
Hivi mkuu mfano tu nikaenda kufungua yard kisarawe ya magari kule wanapolima mihogo sana alafu nimwambie mganga anipatie dawa ya kuvuta wateja wanaweza kunifata mpaka huko[emoji23][emoji23] mana nasikia hizi dawa hatari
Hata ungefunuliwa ungemfuata.Waganga hawa hawa waliambiwa atakeye toa Fununu ya Alipo Mo Dewj familia itampa kitita cha 1bilnlion na wote wakala nduki🤣🤣
Matapeli hawa hawana msaada wowote.
Tutakugeuza kivuri kijana, tena nimeshakujua mpaka kwenuWaganga ni takataka,
Humu Kuna mabingwa wa kujifanya wanaelewa Sana mambo. Ya waganga, hata kama ni nani wa humu ,jihadhari hawana lolote ni matapeli TU.
😂😂😂😂nimecheka kweli yaanWaganga wazushi tu niliibiwa simu ktk mazingira ya kutatanisha simu kala na gharama sn.
Ss mm sio mtu wa ulozi kama mshana jr, akaja mwanangu mmoja na kuniambia anipeleke kwa mganga hiyo simu aliyeiba atarudisha.
Tumefka kwa sangoma baada ya kuelezea shida zetu mixer akasaga majanimajani si jui ni ya aina gani akasema nichemshe ninywe simu itarudi.
Sasa nipo njiani najiuliza simu aibe mwingine mijani ya dawa ninywe mie, halafu kuna uhusiano gani Kati ya kurudi kwa simu na mm kunywa Yale majani
Aahh kudadeki niliitupilia mbali ile mijani na mpaka ss siamini ulozi na hiyo simu nishasamehe[emoji3061]
Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
Watakuja ilimradi kuna biashara zinafanyika wateja utapata tu, Matajiri wa mihogo ndiyo wateja wenyewe.Hivi mkuu mfano tu nikaenda kufungua yard kisarawe ya magari kule wanapolima mihogo sana alafu nimwambie mganga anipatie dawa ya kuvuta wateja wanaweza kunifata mpaka huko[emoji23][emoji23] mana nasikia hizi dawa hatari
Tupia na ww tukio ulilopigwa na hawa kalumanzila tucheke wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kweli yaan