Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Inalogwa ila system ya kibenki iliasisiwa na Illuminati wa kiyahudi na ndio wanamiliki pamoja na zile familia nyingine za uingereza asilimia zaidi ya 90 ya uchumi wa Dunia nzima.Kufunga madeni nilisidiwa huko kigoma lakini watu wa nmb ilibidi nihangaike na kuweka zuio bank hailogwi
Hiyo familia iliyoanzisha Banking system inaitwa Rothschild. Tukirud kwenye suala lako la Bank hailogwi ni sawa na mchezaji wa timu ya Mkoa wowote Tanzania. Ambayo haijafuzu hata ligi kuu Ya Bara kutaka kucheza na Real madrid, ama Arsenal.
Dunia ina siri nzito sana sana sana.