Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Kufunga madeni nilisidiwa huko kigoma lakini watu wa nmb ilibidi nihangaike na kuweka zuio bank hailogwi
Inalogwa ila system ya kibenki iliasisiwa na Illuminati wa kiyahudi na ndio wanamiliki pamoja na zile familia nyingine za uingereza asilimia zaidi ya 90 ya uchumi wa Dunia nzima.

Hiyo familia iliyoanzisha Banking system inaitwa Rothschild. Tukirud kwenye suala lako la Bank hailogwi ni sawa na mchezaji wa timu ya Mkoa wowote Tanzania. Ambayo haijafuzu hata ligi kuu Ya Bara kutaka kucheza na Real madrid, ama Arsenal.

Dunia ina siri nzito sana sana sana.
 
Hee!. Ilibidi mfanye moango wa malipo mkachangishana poleni.. Wengine wako serious na vyao.
 
Duu mie hizi Ni story ama Kuna ukweli
 
Mikumi mkono wa kushoto ana tumbo kubwa yule muhuni tu
 
Hukumuliza kwanini yeye hana hata VX moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…