Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Inalogwa ila system ya kibenki iliasisiwa na Illuminati wa kiyahudi na ndio wanamiliki pamoja na zile familia nyingine za uingereza asilimia zaidi ya 90 ya uchumi wa Dunia nzima.Kufunga madeni nilisidiwa huko kigoma lakini watu wa nmb ilibidi nihangaike na kuweka zuio bank hailogwi
Asee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu.
Haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
Hee!. Ilibidi mfanye moango wa malipo mkachangishana poleni.. Wengine wako serious na vyao.Miaka hiyo ndio bodaboda zinaingia ingia kuna mwanangu wa haswa haswa,alipewa moja awe analeta hesabu.Shida ya mwanangu mtu wa kilaji sana na kamti pombe.Kwa kifupi alipoteza boda ya watu.Mwenyewe hakukubali akadai chombo yake haipotei kifala so sijui digala alienda kwa mtaaalamu.Mwana akawa analalamika anahisi ametwishwa boda mabegani hawezi kuamka wala kutembea ilikua ni kamzozo.Kila nikikumbuka haingii akilini nahisi kama kulikua mipango mingi hapo kati ambayo hatukuijua.
Mzazi wake ndio alimlipia hukoo.Hee!. Ilibidi mfanye moango wa malipo mkachangishana poleni.. Wengine wako serious na vyao.
Kufunga madeni nilisidiwa huko kigoma lakini watu wa nmb ilibidi nihangaike na kuweka zuio bank hailogwi
Upo dar sehemu gan na unafanya biashara gan.#wakuu mm ombi langu kwenu wakubwa zangu __nahitaji mganga wakuweza kunipa mafanikio (utajiri ) kama unayo hio connection plz naomba unicheki PM (mm niko dar)
Upo dar sehemu gan na unafanya biashara gan.
Upo dar sehemu gan na unafanya biashara gan.
Pale Nkololonjoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
ZipoHivi mkuu ni kweli kuna dawa za kuvuta wateja?
Duu sio biashara hii mkuu. So unakuta huko maswa. Rafikiye huyo mganga anagongea Mia mbili ya feginjoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
Duu mie hizi Ni story ama Kuna ukweliUkinipa pesa chafu ya chuma ulete au ya kuharibu ridhiki yangu najua. Mikono inaanza kuuma, mikono inakuwa ya moto ghafla, kichwa kitauma, macho kuwa mazito , mikono kuwa na kigugumizi pia.
Ukija kuniwangia Lazima nikuone ndotoni na nishtuke kutoka usingizi
Nikikikanyaga uchawi Lazima miguu iwe mizito ghafla .
Mikumi mkono wa kushoto ana tumbo kubwa yule muhuni tuNilienda kwa mganga ni sheikh yupo migo migo kusema ukweli hakunisaidia kupata ajira ndio kwanza mambo yalizidi kuwa meusi.
Ila dawa zake ukichoma na ukioga wanawake unafanya kuwakimbia simu zinaita kutwa nzima na mtaani mpaka unatongozwa. Demu alikupiga kibuti miaka imepita unaona annanzisha convo inbox
Sema ilinikuta sina nguvu nikawa nawapotezea ingekuwa enzi zangu nna mkwanja sijui ingekuwaje.
Hukumuliza kwanini yeye hana hata VX moja?Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!
Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.
Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.
NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary
Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.
UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?
UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.
Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
Huyo Mganga au wewe huhitaji Wateja kama hao? Si mfungue biashara Mkuu?njoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
Wewe hautaki wateja?njoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
Tapeli mkubwa weeAsee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu.
Haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
Ushapigwa niniTapeli mkubwa wee