Yupo bibi anatibu vidonda vya tumbo pamoja na wale wadada ambao wakipata mimba zinatoka au hawapati mimba nilimpeleka jamaa alikuwa anaumwa pumu ikimbana mpaka sindano ndio apate nafuu alitumia dawa week akapona kabisa ajabu hakuwahi kumpa hata soda yule bibi Sasa sijui huu ni uganga au niiteje
Unawashwa kinyeo wewe.We mchawi mkubwa unajifanya huendi kwa waganga?
Kumbe walozi waleNilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!
Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.
Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.
NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary
Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.
UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?
UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.
Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
story ndefu mzee ila Ndoa ilikua sehem kubwaHayo matatizo yaliyomkuta shemeji yako yalitokana na ndoa au vp umeniacha njia panda.
Nikiwah chuo nilikula milioni 3 ada ikabidi niende Kwa sangoma, alinipa tu kijiti nilifanya mtihani bila adaNaomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.
Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.
Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake
Haya yote hayafanyiki bila majini msijidanganye 🤣🤣🤣sijawai kusikia ana mizimu wala majini
Yeye hutuambia ni dawa za asili alifundishwa akiwa mdogo kusaidia kupata mifungo iliopotea , kuikinga mifugo dhidi ya wanyama wakali
na kujua mtu aliekwenda safari ya mbali kama bado yupo hai ama alishakufa
Dawa hizo pia hutumika kuwaita watoto waliokwenda mjini kutafta maisha na kusahau kurudi kijijn kusalmia wazee ,unambiwa ukifanyiwa hizo dawa utatafta kila njia urudi kwenu hata kwa mkopo ama kutembea kwa mguu
Na kuna ingine alinambia ikitokea hataki mtoto wake aende kutafuta maisha mbali na nyumban anachota unyayo wake anamix dawa na kwenda kuufunika na chungu
kuanzia hapo aliefunikwa hawez hata kufikiria kusafiri wala kwenda kuishi mbali na nyumbani.
🤣 Mlimuibia mganga 🤣🤣🤣Ilikuwa Ujiji. Nimepigika kinyama mimi na mwanangu Q. Ghafla mbele yangu naona bango la Uganga, kwa maelekezo hakukuwa mbali na pale. Tunafika tunapisha na wateja ( kama sikosei ni mtu na wakeze ).
Yule Mganga alikuwa ni mwanamke! Basi baada ya salam akaanza makeke yake, shida zetu akazipatia Mule mule toka mwanzo wa Safari yetu mpaka ile siku tunafika kwake! Shida ikawa moja tu! Anataka 40000, sasa nikajiuliza yaani huyu Bazazi ameona yoote lakini kashindwa kujua kama hatuna ata mia? Nikamwambia fresh Mmama we tufanyie kazi sisi tutakupa 60000 sio hiyo 40000, basi ile kainuka tu kuingia ndani kuchukua madubwana yake, mimi nikakusanya pesa 45000 zilikuwa pale kwenye ungo na kinokia Obama nikamwambia Q mwanangu hii nauli tusepe. Tukatokomea hivyo yaani mpaka Mwaloni. Tukauza kale kanokia 15000 jumla tukawa na 60, tukala 7000, tukalipia boti 6000 kwa kila mmoja. Kufika mbele mbele huko kuna kijiji kipo ndani ya Gombe, mida ya saa 1:30 ile Boti inazama, tunatumbukia kwenye lile ziwa, maji naanza kuyaona meusi mwanangu hajui kuogelea anakaba shingoni anaogopa kufa, hali inazidi kuwa tete kila nikijitahid anishike japo ukosi wa shati yule maaluni kakaza kabali......sitosahau. yule mama alitupiga kitu kizoto. Siiendelezi naishia hapa.
We ms3ng3 muongo banaNikiwah chuo nilikula milioni 3 ada ikabidi niende Kwa sangoma, alinipa tu kijiti nilifanya mtihani bila ada
Ushuhuda mfupi wenye ku make sense
Poleni mzee! Haya mambo ya ndoa si ya kukimbilia aseee.story ndefu mzee ila Ndoa ilikua sehem kubwa
Mungu anatosha uzimsingizie yesu bureKuna watu watakuja kusema hakuna uchawi.
Uchawi upo ndugu zanguni... hii dunia pana sana.
Ila dawa ya uchawi ni kumuomba Mungu mmoja na Yesu Kristo, aisee hakuna
Wee jamaa muongo sana kama yule wa igizo la MANENO KUMIKuomba nini sasa? Siendelezi sababu sio jambo la kufurahisha wala kujivunia, hapo kuna sehemu unaona kabisa sikufanya uungwana. Kwa mara yangu ya kwanza naiba, unadhani nilipenda kumuibia mganga Mkuu? Au ni sehemu ya maisha yangu? Hapana nilifanya upuuzi ule ambao umekuja nikost kwa Miaka, nimesema siendelei sababu najutia nilichokifanya na kinaniumiza mpaka leo hii. Sasa ni hivi kama unahisi ilikuwa ni rahisi kiivyo, baada ya boti kuzama kila tulichokuwa nacho kilibaki ndani ya maji. Na hata kuokoka humo ilikuwa ni miujiza tu. Unajua tulikuwa tukienda wapi? Ni safari iliyochukua zaidi ya miaka 3 kufika tulikotaka kufika. Sipendi kuendelea sababu kuna Mengi, ya kufurahisha, kusikitisha, kuchukiza na kuogopesha pia. Destination ilikuwa Canada imagine.
[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mganga Yuko pale magomeni mikumi bondeni kabisa hukuuu kama unashuka ngazi unaeleka Kigogo yule mshikaji brother man [emoji38][emoji38][emoji38]balaa halafu anamiliki BMW acha kabisaaMsanii h
Uyu
Anachukulia mambo marahisi rahisi sanaHaya yote hayafanyiki bila majini msijidanganye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndio akina manyaunyau hao[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mganga Yuko pale magomeni mikumi bondeni kabisa hukuuu kama unashuka ngazi unaeleka Kigogo yule mshikaji brother man [emoji38][emoji38][emoji38]balaa halafu anamiliki BMW acha kabisaa
Tumeacha mtakatifu Kanali[emoji2960][emoji2960]Washirikina endeleeni kutiririka
Kumbe watu mnaenda mpka kwa waganga na hamsemi kulalekiNaomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.
Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.
Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake
[emoji38][emoji16][emoji16]balaaa yaani kilingeni kwake pachafu ila akitoka pale mshikaji anaingia Kwa BMW anakaa mpiji ya karibu na bagamoyo ana pesaaa ila anatibuuuu huyoooo!!!![emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ndio akina manyaunyau hao