Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Kumbe walozi wale
 
Nikiwah chuo nilikula milioni 3 ada ikabidi niende Kwa sangoma, alinipa tu kijiti nilifanya mtihani bila ada

Ushuhuda mfupi wenye ku make sense
 
Haya yote hayafanyiki bila majini msijidanganye 🤣🤣🤣
 
🤣 Mlimuibia mganga 🤣🤣🤣
 
Wee jamaa muongo sana kama yule wa igizo la MANENO KUMI
 
Kumbe watu mnaenda mpka kwa waganga na hamsemi kulaleki
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ndio akina manyaunyau hao
[emoji38][emoji16][emoji16]balaaa yaani kilingeni kwake pachafu ila akitoka pale mshikaji anaingia Kwa BMW anakaa mpiji ya karibu na bagamoyo ana pesaaa ila anatibuuuu huyoooo!!!!
T shikamooooo aseeehhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…