PACHO HERRERA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 460
- 527
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AshabokoKama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
Meru ni kijijin,mjini ni Dar peke yake.nje ya dar ni mkoani.kwahiyo nyie mmesoma kijijini.Primary alkuwa bdo ingawa alkuwa mjanja mjanja shule kulkuwa na wajanja zaid yke si unajua shule ya mjini Meru primary school
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya mwanao afaulu akasome udsm home of intellectuals au nje.cbe ni kwaajil ya madem vilaz.a na mbwembwe mjini.hujakosea mkuu ... mimi ni moja ya hao vilaza waliowahi kupoteza muda chuoni hapo
Wacha wee ndo mana we kichwa 💪 mana mtu aliyewahi kuishi mtwara hawagi boya boya😀[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana Mimi namjua tu maana nimefanya kazi mtwara kipindi hikoo
Mama nannauka km sikosei alipewa shule sijui ndwika girl vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Keisha kaunga hapo 'visetifiketi na kidipuloma' akenda kuunga tena chuo cha kata Uganda huko.Aunty MAGO kama kitu hukijui piga kimya tu
mwaka 2012 naingia hapo first yr huyo godzilla yeye alikuwa ndo anamaliza diploma..
bill nenga alikuwa diploma mwaka wa kwanza
huyo nandy hata sikuwa najua anasoma level gan zaidi ya kumuona (kalikuwa katoto sana)
keisha nikiwa 3rd yr ndo nilianza kumuona yy akiwa 1st yr so hakuna waliosoma class moja hapo umeskia Aunty MAGO
best wa physics tz nzima ni mudi physcs hao wengin mbwembwe.We used to call him Marc Fad[emoji3] one of the best Physics teacher at 77 na mtaalam wa picha mnato[emoji16] bila shaka we ni mate wangu kabisa wewe aidha class au school....Msalimie Mama Meja kama bado yuko hai...ukimuona mama Nanauka pia mwambie mwanafunzi wako wa Hist Chinga One wa jf anakusalimu[emoji41]
Mkuu niwe dereva kwenye hilo v8Mkuu sijisifii,ila pesa nnayo labda umaarufu tu,Nina nyumba ya 300 ml,cruiser V8 mbili, tractor,scania na fuso,Nina uhakika wa 10 mil per months, maisha yangu ni mazuri japo huwezi linganisha na dewji yule alirithi kwa babu zake
Irene wakati yuko mkwawa sec b4 chuo tulikuwa tunamuita "kwasu"lile nyama gumu unatafuna wapi,kila mtu alikuwa anajipigia kuanzia wanafunz mpaka walimu.kifupi ni mama huruma aka mlezi wa wana.Irene kiwia Nikimwangalia sasa hivi huwa nacheka tu
Kama ulishasikia Katibu wa Hospitali Hospital Secretary au Health secretary kwenye wizara taasisi ndo wanakuwa wanesoma healtg management system. Ni adiminstrators wa shughuli zote za Afya kwenye maeneo husika wakisimamia pia HRs Issues. Ina deal kimtindo!Hiyo degree program ndo naisikia Leo,wanahusika na nini hao watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU UNATANIA AU SERIOUS?Irene wakati yuko mkwawa sec b4 chuo tulikuwa tunamuita "kwasu"lile nyama gumu unatafuna wapi,kila mtu alikuwa anajipigia kuanzia wanafunz mpaka walimu.kifupi ni mama huruma aka mlezi wa wana.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app
sawabest wa physics tz nzima ni mudi physcs hao wengin mbwembwe.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app