BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,989
- 32,649
Wamama wengi wanautaalamu huo tena unaweza shtuka tu mtoto analia kumbe kaishafinywa kimyakimya[emoji23][emoji23][emoji23] mama alikua anapenda kunifinya mapajani aisee!!! Anakukamata mnakaa wote chini na kukutandaza miguu kufinya mapaja [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh!!!Mimi nilikuwa Mtundu sana. Hii ilisababisha mpaka nikapelekwa shule ya boarding nikiwa na miaka minne pekee.
Siku moja ambayo mama na baba walinichangia ni siku ambapo nilienda kumtega mzee kipofu na kumwangusha. Nilitengeneza kamba alafu nikaitegesha njiani, mzee kipofu alipokuja anatembea na mkongojo wake nikainyanyua na kumuangusha. Nikabaki hapo pembeni nacheka kwa nguvu.
Asee, hiyo kipigo nilichopata sitakaa nisahau asee. Nilichapwa fimbo za kutosha maana nilishakuwa sugu kwenye mkanda.
Mungu anisamehe kwa niliyomtendea yule Mzee. Naamini hata huyo mzee kanisamehe pia, nilikwenda jumuomba msamaha kabla hajafariki, RIP.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka mdogo wangu alichapwa na mzee fimbo moja tu akasema baba tusali kwanza...ni kama network ilipotea
Ohoooo!!!nakumbuka walinifumaga na kwichi kwichi utotoni nyumbani kilichonikutaaa n kipigooo siyo cha nchii hiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa mtundu sana nilipokuwa primary, kuna siku mzee alirudi na radio mpya, nikaifungua yote, nikashindwa kuifunga, na hii ilikuwa radio ya tatu kuiharibu. Sasa mzee aliporudi toka job alipa bakora nne za maana, na adhabu ikaendelea kwa wiki nzima kila akitoka job ni salam na fimbo moja then tunaendelea na mambo mengine.
[emoji39] [emoji39] [emoji39]Mimi mama alikua ananitikisa tikisa tu na kuniambia sasa Wenawe nichape wapi make sioni hata pa kupiga mwishowe nikuue tu ananiambia hebu toka hapa
What's that super???[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Nakutamani nikuchape ukubwani...What's that super???
Nakuja sasahivi sitaniwi mimiNakutamani nikuchape ukubwani...
Hahaha... Muone kwanza... Hakuns kulia...Nakuja sasahivi sitaniwi mimi
Tena nakuja mwenyewe hata usinifate na nauli usitume make nimemis mchapwo wako hujanichapa longiiiii!
Nikilia si utanibembeleza super Dear wako jamani?? Hautanionea hata ka Huruma jamani jamani??Hahaha... Muone kwanza... Hakuns kulia...
Na ulivyo na kasuti kazuri... Unalia kama utani vile... Ati unalia huku unazidi kunikumbatia tight.. Nikikuachia unanivuta nisikuachie...Nikilia si utanibembeleza super Dear wako jamani?? Hautanionea hata ka Huruma jamani jamani??
Lol my lovely super Dear .Na ulivyo na kasuti kazuri... Unalia kama utani vile... Ati unalia huku unazidi kunikumbatia tight.. Nikikuachia unanivuta nisikuachie...
Sasa hapo nitakuoneaje huruma supee dear...
Hivi vitoto hivi?!Mambo zenu Chit-Chat...
Unakumbuka kichapo/kipigo kikubwa ulichowai pata toka kwa wazazi/walezi? Ulifanya nini mpaka ukachapwa/pigwa?