Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,951
- 9,878
- Thread starter
- #101
Vizuri na hongera mkuu!!!Nilikula bakora za hatari na adhabu ya kubeba mawe mikono juu kwa kosa la uzurulaji baada ya kutoroka wakati tuliingia makubaliano nibaki home maana wote waliondoka. Niliamua kutoroka ili nikaangalie Sinema ambayo nilikuwa tayari kwa lolote ila lazima niiangalie. Nilimchukia mother ila nilimuelewa baada ya kufaulu peke yangu Drs la Saba katikati ya watoto watukutu mtaani kwetu. Mkono wa chuma wa mama ni zawadi tosha maishani mwangu.