Umewahi kuchapwa/kupigwa na mzazi/mlezi?

Umewahi kuchapwa/kupigwa na mzazi/mlezi?

Mie mama mdogo tulikua tunaishi nae... Sasa kumbe yeye usiku wazee wanavyoenda kulala yeye anatoroka kwenda kwa wanaume na kurudi kabla hakujapambazuka mbaya zaidi anaacha mlango wazi... Baba akastukia mchezo, sa nne binti katoka baba akaweka stuli nje na kumsubiri mpaka alivyorudi... Jamani sijawai ona mzee anahasira kiasi kile... Mama mdogo alitundikwa kwenye mti kichwa chini tena uchi wa mnyama... Mzee alitembeza viboko mpaka mikono ikaanza muuma.
mama mdogo kaolewa na familia yake lakini mpaka kesho anamuogopa baba na hajakanyaga kwetu teena!
Mzee wako hakutaka mchezo na shemeji yake[emoji15] [emoji15]
 
Siku hiyo sikupigwa ila alinifanyia ukatili sana mzee.

Tulienda kucheza ngoma fulani za asili zilikuwa zinapita toka saa tisa hadi saa moja jioni tunacheza ngoma, tuliporudi nyumbani mzee kauliza mlikuwa wapi ? Tukaanza kudanganya na maneno mengi kama wazaramo.

Nilikuwa na dada zangu wawili basi tukapika na kula ila baada ya msosi nikaenda kulala ile nafika chumbani nakuta hakuna godoro kitandani nikawa nashangaa shangaa tu hapo chumbani.

Akaja mzee akaniambia leo Hakuna kulalia godoro naomba vua nguo ulale.....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] mzee ntalalaje juu ya kitanda bila godoro tena kitanda chenyewe cha chuma hakina chaga ni minyororo tupu.

Aisee mwanaume nikasema na mimi sipangiwi nikavua nguo na kakifua kangu kama ka erick omondi nikalala kwenye vyuma chini ya usimamizi wa mzee had usingizi ukanipitia.

Nilipoamka asbh nimechorwa mwili na vile vyuma hadi nakahisi kulia.

Asante mzee kama uko humu najua umesahau ila nilikomaa sana UNA DUME SIO UTANI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole mkuu..same story tofauti yetu ni kidogo sana... Mie imenifanya nashindwa kujiamini, najitibu taratiibu..
Pole Sana. Tell us about it tunaweza kukusaidia.
Mamaangu alikua anajua kupiga si kitoto ila nashukuru hakua na lugha abusive.
Leo mm na my young sister ndio tunaomuhudumia katika maradhi yake.
Tusingeweza Kama asingetuadhibu mwanzoni, kwani tungeharibikiwa.
 
Kweli kabisa mkuu. Kuna Mzee jirani yetu alikuwa analaani watoto Wa miaka 10. Eti umelaaniwa wewe na kizazi chako.[emoji15] [emoji15] yaani ajabu,maneno yote mabaya anawaambia wanae Wa kuwazaa kabisa
Mbaya sana maneno huumba
 
Pole Sana. Tell us about it tunaweza kukusaidia.
Mamaangu alikua anajua kupiga si kitoto ila nashukuru hakua na lugha abusive.
Leo mm na my young sister ndio tunaomuhudumia katika maradhi yake.
Tusingeweza Kama asingetuadhibu mwanzoni, kwani tungeharibikiwa.
Mzazi fanya yote lakini sio kutumia lugha mbaya kwa watoto!!! Ulimi unaumba na unawaharibu kisaikolojia
 
Dah asee umenikumbusha mbali sana,
Nakumbuka nkiwa chalii nliwahi kuiba mashine ya Mzee yakunyolea ndevu nkijua ndani haina wembe ...
Nikaipitisha kwenye nyusi za upande mmoja nkawa Bonge LA kituko bmkubwa aliponiona akahis namuiga kipind ana tengeneza nyusi zke ' aseeh kipigo nlichokipata kila nkikumbuka roho inauma sana aseeh, nahis alinionea mm nlifanya nkiwa na akili za kibashite bmkubwa amenipa adhabu akijua ni makonda daaah.
 
Pole Sana. Tell us about it tunaweza kukusaidia.
Mamaangu alikua anajua kupiga si kitoto ila nashukuru hakua na lugha abusive.
Leo mm na my young sister ndio tunaomuhudumia katika maradhi yake.
Tusingeweza Kama asingetuadhibu mwanzoni, kwani tungeharibikiwa.
Mkuu she died from cancer, ila alilala chini miezi miwili lakini mwaka mzima aliugua sana.

Yani nyumba ilikuwa ni full of stress, yani tangu wadogo maisha yaliandamwa na vipigo vikali vikali, imagine nikiwa drs la pili tayari nilikuwa namuogopa mama, mbaya zaidi Tabia ya kunyimwa chakula ikapelekea udokozi Wa hela sasa ohoooo! Fimbo jamani tena ukiwa uchi. Wakati mwingine upupu anauweka kwenye Gunia alafu unavua nguo unaambiwa uingie humo, alikuwa ana pesa ila haya hazionekani( nahis hata mungu alichukia) hakuwahi kukaa na sisi km binti zake au rafiki zake,... Tukiwa tunatoka shuleni jioni nilimuangalia my lovely twin nikawa naona jinsi sura yake inavyojaa hofu wakt wenzetu wanashangilia kwa kelele "kwaheri mwalimuuuuu"... Simanzi asubuhi hakuna chai, shuleni mchana hakuna msosi, na ukikaa vibaya Nyumbani pia mnaweza kuacha kupika..
Alikuwa MTU Wa kutafuta kasoro muda wote MTU Wa kubeza, majirani walipenda kutupa msaada Wa chakula ila waliogopa ukali wake. Heeeeee!!!!!! Nilikuwa nikijiona Mie siyo MTU kabisa, nikawa naogopa hadi watoto wadogo.. Kuna Sikh moja alitufungia nje hadi asubuhi tukajibanabana kwenye magofu na baridi na mbu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Alianza kupunguza ukali na kupiga tulipoenda kidato cha 5 Mie nilienda musoma nikakaa hukohiko hadi nikamaliza, twin akichaguliwa arusha... From there tulijitambua kuwa na die ni mabinti wazuri, tukaanza kuheshimiana na kupendana zaidi,
Tulifaulu chuo kikuu, mwaka Wa kwanza mama aligundulika kuwa ana maradhi ya cancer, nilimuuguza kwa UPENDO MKUBWA SANA, KWA GHARAMA KUBWA KWA KUJITOA BILA KINYONGO!! 2014, Aliaga dunia. Mungu amrehemu na ampumzishe kwa amani.
 
Dah asee umenikumbusha mbali sana,
Nakumbuka nkiwa chalii nliwahi kuiba mashine ya Mzee yakunyolea ndevu nkijua ndani haina wembe ...
Nikaipitisha kwenye nyusi za upande mmoja nkawa Bonge LA kituko bmkubwa aliponiona akahis namuiga kipind ana tengeneza nyusi zke ' aseeh kipigo nlichokipata kila nkikumbuka roho inauma sana aseeh, nahis alinionea mm nlifanya nkiwa na akili za kibashite bmkubwa amenipa adhabu akijua ni makonda daaah.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] watu wengine bwana.
 
Mama ameanza kunichapa nkiwa mdogo sana nakumbuka nlikuwa sijaanza hata shule nlienda kwa watu nkawa nimesimama mlangoni wao wanakula mi naangaliaa....Mhehe yule alinibebaa akanipeleka nyumbani akanivua nguo zotee akanifunga mezani miguu na mikono kile kipigo nlichopokeaaa....mpaka leo huwa siwezi kwenda kwa watu na huu utu uzima
 
Mzee wangu ni toluuu haswaaa!!! Ko anakukamata mikono yote pamoja na kushughulikia matako!!! Daaah!!! Ukikosea eti uzuie fimbo kwa mkono P.O.P itakuhusu!!! Viboko vyake vilikua vya haja tena vya kuhesabu... Unajua kabisa nachapwa vinne lakini sikalii matako siku mbili
Mmmh I see
 
Pole Sana. Tell us about it tunaweza kukusaidia.
Mamaangu alikua anajua kupiga si kitoto ila nashukuru hakua na lugha abusive.
Leo mm na my young sister ndio tunaomuhudumia katika maradhi yake.
Tusingeweza Kama asingetuadhibu mwanzoni, kwani tungeharibikiwa.
Mungu amponye mama na aendelee kuwaimarisha .
 
Mkuu she died from cancer, ila alilala chini miezi miwili lakini mwaka mzima aliugua sana.

Yani nyumba ilikuwa ni full of stress, yani tangu wadogo maisha yaliandamwa na vipigo vikali vikali, imagine nikiwa drs la pili tayari nilikuwa namuogopa mama, mbaya zaidi Tabia ya kunyimwa chakula ikapelekea udokozi Wa hela sasa ohoooo! Fimbo jamani tena ukiwa uchi. Wakati mwingine upupu anauweka kwenye Gunia alafu unavua nguo unaambiwa uingie humo, alikuwa ana pesa ila haya hazionekani( nahis hata mungu alichukia) hakuwahi kukaa na sisi km binti zake au rafiki zake,... Tukiwa tunatoka shuleni jioni nilimuangalia my lovely twin nikawa naona jinsi sura yake inavyojaa hofu wakt wenzetu wanashangilia kwa kelele "kwaheri mwalimuuuuu"... Simanzi asubuhi hakuna chai, shuleni mchana hakuna msosi, na ukikaa vibaya Nyumbani pia mnaweza kuacha kupika..
Alikuwa MTU Wa kutafuta kasoro muda wote MTU Wa kubeza, majirani walipenda kutupa msaada Wa chakula ila waliogopa ukali wake. Heeeeee!!!!!! Nilikuwa nikijiona Mie siyo MTU kabisa, nikawa naogopa hadi watoto wadogo.. Kuna Sikh moja alitufungia nje hadi asubuhi tukajibanabana kwenye magofu na baridi na mbu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Alianza kupunguza ukali na kupiga tulipoenda kidato cha 5 Mie nilienda musoma nikakaa hukohiko hadi nikamaliza, twin akichaguliwa arusha... From there tulijitambua kuwa na die ni mabinti wazuri, tukaanza kuheshimiana na kupendana zaidi,
Tulifaulu chuo kikuu, mwaka Wa kwanza mama aligundulika kuwa ana maradhi ya cancer, nilimuuguza kwa UPENDO MKUBWA SANA, KWA GHARAMA KUBWA KWA KUJITOA BILA KINYONGO!! 2014, Aliaga dunia. Mungu amrehemu na ampumzishe kwa amani.
Pole dear, Mungu awatie nguvu mdumishe Upendo Apumzike kwa Amani mama .
 
Back
Top Bottom