Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Inawezekana maana watu tumetofautiana
Kuna wadau wanachekeshwa hadi na ashaboko
Mimi mtu anayelia kisa mwanamke au kuhamasisha wanaume wampigie goti mwanamke wakati wakuvishana pete mtu huyo kwangu ni kero
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?Kama lengo lake lilikua hivyo basi 90% mambo yameenda tofauti na alivyotarajia
Kwasababu watu tumeona udhaifu wake na sio msoto wake
Wabongooo salute!
Nishawahi kuchekeshwa nae mara moja, kuna clip alikuwa anaongelea tabia za skuli enzi hizo. Ilikuwa nzuri
Ila Kwa Bongo kuna CHEKA TU inaoneshwa EATV, kuna jamaa ana madevu. He is talented sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Haioneahi unyenyekevu inaonesha ume fake mbele za watu ili wakuone ni mnyenyekevuKwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?
KAMA HII SIO, HADI MAVUVUZELAPiliPili siyo comedian,comedy zipo Bungeni na makanisa ya kiroho tena free bila kiingilio.
Unyenyekevu unadhihirishwa kwa njia nyingi, hakuna limit. Kupiga magoti ni njia mojawapo ya kuonyesha unyenyekevu wa jambo..mfn kuomba msamaha, ukiamua unapiga magoti au unaacha..kwahy pilipili aliamua kuonesha kwa mpenzi wake na si kosa bali ni tfsir za watu.Kwaiyo kwako mtu mnyenyekevu ni lazima apige magoti?
Tofautisha tukio na tukio..uvishwaji wa pete ni tukio moja na ndoa kuvunjika ni tukio la pili..hivyo ni vitu viwili tofauti.Kungekua hivyo basi ndoa zote zilizofungwa kwa kupigiana magoti zisingevunjika wala kusingekua na migogoro ya kindoa
Wazungu kufunga ndoa wanafunga, iwe ni ushoga au kawaida ni lazima unyenyekevu uwepo na wao ni kupitia kupiga goti kama pilipili alivyofanya..ni hivyo kweny ushoga, ni yule anayeolewa ndy anapigiwa..dhana ya kuiga ushoga iache, chukua dhana ya sub-actions ndani ya mchakato wa kufunga ndoaWazungu wakifanya hawakosei?
Wazungu wamehalalisha hadi ushoga we utakubali ushoga kwasababu wazungu wanafanya?
Hii ishu inategemea na tukio, siwezi kuja ofisin kuomba kazi hlf nipige goti.Hiyo tabia ya unyenyekevu ya kupiga magoti unaifanga siku zote za maisha yako au unafanya hapo kwenye hilo tukio kwasababu umeona walio wengi wanapiga magoti?
Ukiziamini media za bongo unaweza kudhani wewe ni mtu wa maana kumbe kikaragosi tu.Hahahaa, halafu nimewahi kuona media fulani eti wanamwita kuwa ni bingwa wa stand up comedy
Watazamaji wa show zake hufurahia jinsi yeye mwenyewe anavyochekaHabari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Hakuna kitu anafanya pale, naona anajikakamua tuu comedy ni talanta sio kila mtu anayo, kwaupande wa standup comedy wakenya wapo mbali sana sana tuu, sio kwamba napinga vitu vya kwetu lakini ukweli sijaona mtanzania mchekeshaji sio JOTI, MPOKI, MC PILIPILI, wote hakuna kitu
Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?