PiliPili siyo comedian,comedy zipo Bungeni na makanisa ya kiroho tena free bila kiingilio.
Dhana ya ushoga iache, njoo kwenye dhana ya unyenyekevu!Wazungu wengi ni mashoga na watanzania nao wawe mashoga?
Hayo mambo ni ulimbukeni na kuigaiga kusipokua na mpango hakuna faida yoyote,,angalia hata kwenye birthday watu wanavyoingia gharama za kipuuzi vijana kwa wazee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?
Haioneahi unyenyekevu inaonesha ume fake mbele za watu ili wakuone ni mnyenyekevu
Kwaiyo kwako mtu mnyenyekevu ni lazima apige magoti?
Kungekua hivyo basi ndoa zote zilizofungwa kwa kupigiana magoti zisingevunjika wala kusingekua na migogoro ya kindoa kwasababu walioana wote ni wanyenyekevu
Wazungu wakifanya hawakosei?
Ni mangapi ambayo wanafanya wazungu na mnakatazwa msiwaige wazungu?
Wazungu wamehalalisha hadi ushoga we utakubali ushoga kwasababu wazungu wanafanya?
Hiyo tabia ya unyenyekevu ya kupiga magoti unaifanga siku zote za maisha yako au unafanya hapo kwenye hilo tukio kwasababu umeona walio wengi wanapiga magoti?
Mshikaji yupo tayari kufungwa ndoa ya jinsia moja kisa wazungu nao huwa wanafanya!!!Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?
Unyenyekevu unadhihirishwa kwa njia nyingi, hakuna limit. Kupiga magoti ni njia mojawapo ya kuonyesha unyenyekevu wa jambo..mfn kuomba msamaha, ukiamua unapiga magoti au unaacha..kwahy pilipili aliamua kuonesha kwa mpenzi wake na si kosa bali ni tfsir za watu.
Tofautisha tukio na tukio..uvishwaji wa pete ni tukio moja na ndoa kuvunjika ni tukio la pili..hivyo ni vitu viwili tofauti.
Wazungu kufunga ndoa wanafunga, iwe ni ushoga au kawaida ni lazima unyenyekevu uwepo na wao ni kupitia kupiga goti kama pilipili alivyofanya..ni hivyo kweny ushoga, ni yule anayeolewa ndy anapigiwa..dhana ya kuiga ushoga iache, chukua dhana ya sub-actions ndani ya mchakato wa kufunga ndoa
Hii ishu inategemea na tukio, siwezi kuja ofisin kuomba kazi hlf nipige goti.
kupiga goti siyo ishara ya unyonge..
Mfn Kuomba msamaha kwa mpenz wako unaeza piga goti ukiamua.
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Hahaha...nilidhani niko pekeangu aisee, pia Idrisa, maisha bhana..duh, ngoja nikamcheki kwanza brother K asogeze masaa ya mkesha.Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?
MC Pilipili kaamua kuongeza products ktk soko lake..
yy kuwa mchekeshaji ni njia ya kujipatia kipato zaidi na hata baadae anaweza pia kuwa mchungaji kama Masanja Mkandamizaji.
pia kwa sasa ana family;lazima ajiongeze
kikubwa hakabi...so anahitaji support!
Sent using Jamii Forums mobile app