Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Ila mie nawashangaa sana nyie wanawake...where do u get such kind of men? Kha! Mbona hamjipendi nyie wanawake. Ebu njooni kwa wanaume kama sie wakina mzabzab hela hatuna lakini kendez inanukia kipapli papli mwenye unatamabi kumeza.
Kwani wanaume wanaolalamika wanawake wachafu nao inakuaje? Ndio mana pale juu nimekuambia unaweza kutana na mtu kwa nje anavutia na msafi ila ndani kuna balaa na huwezi jua hadi siku uingie nae ndani.
 
Kwani wanaume wanaolalamika wanawake wachafu nao inakuaje? Ndio mana pale juu nimekuambia unaweza kutana na mtu kwa nje anavutia na msafi ila ndani kuna balaa na huwezi jua hadi siku uingie nae ndani.
Mbona mie sijakutana na bupa inanuka pamoja na miaka yangunya kuzurula kusaka mbushsu. Nyie hamjui kuchagua bwana.
Mie mwanamke chakwanza kukagua ninkwapa
 
Mbona mie sijakutana na bupa inanuka pamoja na miaka yangunya kuzurula kusaka mbushsu. Nyie hamjui kuchagua bwana.
Mie mwanamke chakwanza kukagua ninkwapa
Sababu nshakupa pale juu.
 
Daah,mkuu umeongea kwa uchungu sana,aisee lakini hii ndiyo hali halisi ya mwanaume asiye na hela.
 
kwenye situation kama hii unahitaji Busara ya hali ya Juu sana kumuelewesha mtu. Hakikisha unatumia maneno ya upole na yenye huruma. Hii itamfanya ajisikie vizuri na kupunguza uwezekano wa kumuumiza. Inahitaji muda na Timing pia kuna mazingira lazima umuweke ayazoee kisha mwambe ila zingatia kwa Upole na Huruma na isiwe kwenye simu
 
That smell doesn't kill Bruder, I think you know what I mean
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…