Hapo sawa Ila mimi cha msingi chakula kiwe na ladha ile ya asili. Maana wengine huwa mnasafisha dagaa hadi kwa maji ya vuguvugu kiasi wanakuwa weupeee maana virutubisho vyote mnavimwaga ππSipendelei dagaa na vichwa
Vichwa huwa navikusanya afu naviroast siku nikiwa sielewiii natafuta nyanya ziko wapi nazipigame swaafi na ugaliSipendelei dagaa na vichwa
Nilikuwa sipendi nyanya chungu Ila niliishi kwenye hiyo nyumba hadi maharage wanaweka nyanya chungu. Niliteseka mwanzoni kwa kuvibagua Ila baadae nikaanza kuishi namo hadi muda huu nomezizoeaDaaah huwa nikila nahisi mwili unasisimkaa inavopita kwenye koo kuelekea tumboniii πππ¬π¬
Dunia imebadilika kuosha hakuepukikiHapo sawa Ila mimi cha msingi chakula kiwe na ladha ile ya asili. Maana wengine huwa mnasafisha dagaa hadi kwa maji ya vuguvugu kiasi wanakuwa weupeee maana virutubisho vyote mnavimwaga ππ
Pia nyanya chungu ni dawa kwa mwanaumeNilikuwa sipendi nyanya chungu Ila niliishi kwenye hiyo nyumba hadi maharage wanaweka nyanya chungu. Niliteseka mwanzoni kwa kuvibagua Ila baadae nikaanza kuishi namo hadi muda huu nomezizoea
Malopa mtamu sana unaweza ya kausha ukala hata miaka mitatuπKuna io Na majani ya Kunde kinyumbani tunaita malopa
Dawa ya nn tenaaaa enheeee!! ππππPia nyanya chungu ni dawa kwa mwanaume
Kanda ya huko hata nazi hatujui kupikia, mie nazi nafosi fosi sana kwakweli ....Watoto wa pwani hawa wamezoea nazi na binzali Ila uende kwa mnyamwezi akupikie nsasa na hizi dagaa halafu useme hajui kupika. Mdomo wako lazma uwe na shida
Kuku, samaki, ng'ombe.....vyote vinapigwa karanga π€£π€£π€£ na ni vitamu yaniSupu ya kuku au samaki?ππ
Huko ni kupunguza mbogaUngewatoa vichwa ila kuleta Muonekano mzuri
Hivi kuna watu wanakunywa soup ya samakii?Kuku, samaki, ng'ombe.....vyote vinapigwa karanga π€£π€£π€£ na ni vitamu yani
Yaani wewe ni mwenyewe π€£π€£Kuku, samaki, ng'ombe.....vyote vinapigwa karanga π€£π€£π€£ na ni vitamu yani
INAMFANYA MWANAUME KUWA MWANAUME KAMILI YAANI RIJALIDawa ya nn tena mkuu
Ukiskia dawa ya wanaume unajiongeza. Japo mimi sijawahi kusikia hili Ila kuhusu memory na afya ya akili. Kuna daktari mmoja alinithibitishiaDawa ya nn tena mkuu
Ngoja niulize CHATGPT!!!! πππππINAMFANYA MWANAUME KUWA MWANAUME KAMILI YAANI RIJALI
π€£π€£π€£π€£π€£Ngoja niulize CHATGPT!!!! πππππ
Au sio ngoja niulize chatgpt kwanzaUkiskia dawa ya wanaume unajiongeza. Japo mimi sijawahi kusikia hili Ila kuhusu memory na afya ya akili. Kuna daktari mmoja alinithibitishia