Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Daaah huwa nikila nahisi mwili unasisimkaa inavopita kwenye koo kuelekea tumboniii 😊🙌😬😬
Nilikuwa sipendi nyanya chungu Ila niliishi kwenye hiyo nyumba hadi maharage wanaweka nyanya chungu. Niliteseka mwanzoni kwa kuvibagua Ila baadae nikaanza kuishi namo hadi muda huu nomezizoea
 
Back
Top Bottom