ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
We lazima utakuwa kimbaumbau sana mtani, hupendi vitu vya kuupa mwili nyama🤣🤣Duh hakuna wa kwetu ukitia na hizo karanga ndio nachafukwa zaidi , mimi napenda dagaa kavu tu kachumbari na ugali wangu pembeni 😁