Umewahi kukumbana na Kero gani katika Huduma za Afya?
Nesi alikua ananichoma sindano huku anatetemeka kanitoboa sehem nne toauti kwenye mikono yote mara zote anachoma pembeni ya mishipa na wakati inaonekana
 
Mimi kuna kipindi nilienda kwenye kituo kimoja cha Afya hapo Dar,

Sikuwa nafahamiana na mtu kabisa, sikuhiyo nilikuwa very smart! wamenitangulia watu kadhaa akaja nesi pale akaniuliza na wewe unatibiwa?

Nilivyomwambia ndio akaenda kwa daktari alivyotoka akaniambia niingie , bila kujali kuna waliokuwa wamenitangulia.

Sikujua kwa nini
Na hukuuliza kwanini ilikuwa hivi Mkuu?
 
Nesi alikua ananichoma sindano huku anatetemeka kanitoboa sehem nne toauti kwenye mikono yote mara zote anachoma pembeni ya mishipa na wakati inaonekana
Pole sana Mkuu
 
Mimi nilienda kuchoma sindano cha ajabu nurse aliyenichoma sindano sijui aliweka sumu kwenye sindano maana baada ya pale nilipofika home nikaanza kuhisi kuishiwa nguvu mara nahisi kutapika yaani nikawa naona kabisa kuzimu inaniita. Aisee nilikimbia fasta kununua maziwa nikanywa ndipo nikaanza kujihisi ahueni mpaka hari kutengamaa, aisee yule Nurse sijui aliniwekea nini kwenye sindano alidhamiria kuniuwa kabisa

Note: ilikua zahanati ya kata yaani ya serikali.
Pole sana mkuu! Lakini nimejiuliza, kama ni zahanati ya kata maana yake na wewe ni mkazi wa hapo hivyo mnafahamiana, je, hukuwahi kuingia naye mgogoro kabla?? Pole sana
 
Ni kweri baadhi ya sehemu wafanyakazi wa afya wameweka mbele pesa kuliko kumjali mgonjwa na hii nkutokana na mfumo mbovu wa usimamizi.
 
Ni kweli japo mara nyingi hawakuweki wazi kua wanazo japo wanakusindikiza kua nenda duka flani kanunue hapo ndo kuna dawa nzuri na ukifuatilia hayo maduka anakua ni mhusika pia
 
Back
Top Bottom