Mimi kuna kipindi nilienda kwenye kituo kimoja cha Afya hapo Dar,
Sikuwa nafahamiana na mtu kabisa, sikuhiyo nilikuwa very smart! wamenitangulia watu kadhaa akaja nesi pale akaniuliza na wewe unatibiwa?
Nilivyomwambia ndio akaenda kwa daktari alivyotoka akaniambia niingie , bila kujali kuna waliokuwa wamenitangulia.
Sikujua kwa nini