Nesi alikua ananichoma sindano huku anatetemeka kanitoboa sehem nne toauti kwenye mikono yote mara zote anachoma pembeni ya mishipa na wakati inaonekana
 
Na hukuuliza kwanini ilikuwa hivi Mkuu?
 
Nesi alikua ananichoma sindano huku anatetemeka kanitoboa sehem nne toauti kwenye mikono yote mara zote anachoma pembeni ya mishipa na wakati inaonekana
Pole sana Mkuu
 
Pole sana mkuu! Lakini nimejiuliza, kama ni zahanati ya kata maana yake na wewe ni mkazi wa hapo hivyo mnafahamiana, je, hukuwahi kuingia naye mgogoro kabla?? Pole sana
 
Ni kweri baadhi ya sehemu wafanyakazi wa afya wameweka mbele pesa kuliko kumjali mgonjwa na hii nkutokana na mfumo mbovu wa usimamizi.
 
Ni kweli japo mara nyingi hawakuweki wazi kua wanazo japo wanakusindikiza kua nenda duka flani kanunue hapo ndo kuna dawa nzuri na ukifuatilia hayo maduka anakua ni mhusika pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…