Umewahi kukumbwa na mikasa yoyote ndani ya mahusiano...

Umewahi kukumbwa na mikasa yoyote ndani ya mahusiano...

halla baibe!nitakuwa maeneo na nduguyo fidel😀

tell him to kall me sawa eehh

Monday nitakuja na kisa kizima cha Y nilivikwa Ring na huyo ndugu yako

don forget to ring ring
 
tell him to kall me sawa eehh

Monday nitakuja na kisa kizima cha Y nilivikwa Ring na huyo ndugu yako

don forget to ring ring
poa!nitamwambia apige!leo utaongea na kaizer pia,na x-pin pia
 
kurestart na yeye exbf au na mwingine? Kama ni yeye alinitoa sana out kipindi nipo single,anamuacha mkewe home na kutoka nami. Ikafika kipindi nikaona hizi out zitakuja kuleta shida, hivyo nikampiga marufuku. Nikamwambia kama unataka out toka na mkeo.

wanaume are soooo mean nakwambia!!!!!!!! they want everything for themselves. sasa kama huyo kuoa kesha oa na yeye ndo alikutosa sasa kun'gang'ana na outings na wewe ili iweje?

kwani alidhani we pia ndoa huitaki au coz mi naona alikua anujuwekea kauziibe tu!!!
 
hehehe!naona festiledi UNAANZA KUIMBISHA KIFAA!😀
 
Things i dont trust:
1. A woman
2. The dark
3. A knife/razor
4. Money
 
Mazee mwambie Nguli awashe simu yake, anaatamia nini siku nzima !!! hahahahaa
hahahahaha!
mpwa na mimi ni pm hiyo number,
nitakupigia shortly nikiwa na kaizer saa nane!nguli amepata nyumba ndogo!(BREKING NEWS)
 
hahahahaha!
mpwa na mimi ni pm hiyo number,
nitakupigia shortly nikiwa na kaizer saa nane!nguli amepata nyumba ndogo!(BREKING NEWS)

itakuwa ki bllurei kimelipa nini? manake unajua tena hawa mabinamu wa sikuhizi wengine wanajifanyakikwetuhakipandi hadi mambo yetu yale ya wanna msain?
 
itakuwa ki bllurei kimelipa nini? manake unajua tena hawa mabinamu wa sikuhizi wengine wanajifanyakikwetuhakipandi hadi mambo yetu yale ya wanna msain?
HEHEHEHE!
certainly YES,or certainly NO!
(mpwa unaona nilivyopiga ki-blurei?)
 
hahahahaha!
mpwa na mimi ni pm hiyo number,
nitakupigia shortly nikiwa na kaizer saa nane!nguli amepata nyumba ndogo!(BREKING NEWS)

Nguli popote ulipo kumbuka familia yako na rafiki zako! Mambo ya kuogeshwa na limama ni aibu huko Kinondoni
 
Back
Top Bottom