Umewahi kula/kuliwa mtu wa rafiki yako wa karibu sana, tupe uzoefu

Umewahi kula/kuliwa mtu wa rafiki yako wa karibu sana, tupe uzoefu

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ni kisa cha kweli alinisimulia mtu mmoja tulikutana kwenye basi natoka Dar kwenda Moro. Akasema kaka yake alikuwa na rafiki waliyependana sana lakini kwa bahati mbaya kumbe yule rafiki alikuwa akila mke wake.

Siku ya siku ikafika yule bwana akawafumania baada ya lile fumanizi maisha ya yule jamaa yalikuwa ya wasiwasi sana ikafika mahali akatoroka na kutokomea kusikojulikna mpaka sasa.

Naomba kama umewahi utusimulie nini ulieperience.
 
Such a shit head you're
FB_IMG_17187190436022626.jpg
 
Kwanini ulikuwa una date naye na ulijua yuko na rafiki ako au basi tu? Nataka kujua tu!
Hakukuwa na sababu maalum ilitokea tu.
Ingawa kabla hajawa na huyu best yangu mimi nilikuwa namzimia sana jamaa nikamwambia best. Bahati mbaya jamaa alichelewa kunifata so mimi nikamoveon na mtu mwingine. Baadae shetani akatupitia😅
 
Nishakula mtu na best yake.. Maswahiba haswa kama mtu na mdogo wake vile.. Nilianza na mkubwa, mdogo akaleta shobo nikapita nae.

Kuna manzi nilikuwa naifukuzia kwenye group ya whatsapp niliungwa na washikaji zangu...
Nikaifukuzia ikajaa, lakini nikawa na mashaka jamaa yangu huenda ni mali yake, manzi ikanikubalia siku ikaja geto, stori nyingi, nikaiambia fulani anakubwenga akaniambia alikuwa anambwenga, kidogo mwamba kapiga simu manzi akapokea wakaongea jamaa analalamikia binti kabadilika, simu kukatwa nikataka kumtimua binti, chozi hili hapa, nikaona isiwe tabu, nikaCHOVYA, tukawa wapenzi haswaaaa.

Mwanamke aliyenizalia mie mtoto wangu wa kwanza kabisa, alikuwa ni demu wa mshikaji wangu school na mimi ndio nilihusika zaidi kumtongozea jamaa, kumbe manzi ananikubali kiaina, miaka imekatika, akiwa bado na mshikaji, akaja dar, stori nyingi, nikaenda kumtembelea alipofikia ngoma night hii hapa, akaenda chumbani mie nikaangusha sebuleni, usiku mtu ananishitua tukalale chumbani, mimi nani nibishe, chumbani ikawa CHUMBANI kaifinyia kwa NDANI, mwanzo wa penzi, akambwaga mchizi, mimba juu na mtoto tukapata.

Nishakula mdogo mtu, ambapo dada yake tulikuwa na mahusiano lakini sikumkula, mdogo mtu akajileta NIKAFYEMBA.



Hiki kipande cha ngoma ya harmonize huwa nakumbuka mbali saana "Ujana una mengi n mengi nimefanya, sjwezi danganya nishamaliza."
Sasa nimekuwa nishaachaga ufirauni woote, kila nikikumbuka ya zamani namshukuru mungu kuchoropoka salama.
 
Ni kisa cha kweli alinisimulia mtu mmoja tulikutana kwenye basi natoka Dar kwenda Moro.
Akasema kaka yake alikuwa na rafiki waliyependana sana lkn kwa bahati mbaya kumbe yule rafiki alikuwa akila mke wake.

Siku ya siku ikafika yule bwana akawafumania baada ya lile fumanizi maisha ya yule jamaa yalikuwa ya wasiwasi sana ikafika mahali akatoroka na kutokomea kusikojulikna mpaka sasa.
Naomba kama umewahi utusimulie nini ulieperience.
Mie nilishakula mke wa adui yangu.

Na bado namla hadi leo nikitaka. Na huwa anamtukana sana jamaa nikiwa napiga paipu, na mm namkorezea amtukane zaidi

Ila kumla mke wa rafiki yako ni upuuzi.
 
Nishakula mtu na best yake.. Maswahiba haswa kama mtu na mdogo wake vile.. Nilianza na mkubwa, mdogo akaleta shobo nikapita nae.

Nishakula mdogo mtu, ambapo dada yake tulikuwa na mahusiano lakini sikumkula, mdogo mtu akajileta NIKAFYEMBA.


Hiki kipande cha ngoma ya harmonize huwa nakumbuka mbali saana "Ujana una mengi n mengi nimefanya, sjwezi danganya nishamaliza."
Sasa nimekuwa nishaachaga ufirauni woote, kila nikikumbuka ya zamani namshukuru mungu kuchoropoka salama.
Mbona hii ni kawaida tu kwangu hamna inayoshtua hata 1
 
Duuh kazi ipo. Ila sawa,
kwaiyo mlikuwa mnakulana huku ww tiyari una kibwana chako kingine ? 🤔
Yes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kufumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabu😅😅. Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
 
Yes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabu😅😅. Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
🤣🤣🤣 Daah asee!

Sasa kwanini mliachana baadae? sema ww Demi kisa chako kitamu bana elezea vizuri.

Kati ya huyo mchepuko na bwana wako ni nani ndie wa 1 kuachana na ww na kwanini?
 
Back
Top Bottom