Umewahi kula/kuliwa mtu wa rafiki yako wa karibu sana, tupe uzoefu

Umewahi kula/kuliwa mtu wa rafiki yako wa karibu sana, tupe uzoefu

Yes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabu😅😅. Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
Alaa
 
🤣🤣🤣 Daah asee!

Sasa kwanini mliachana baadae? sema ww Demi kisa chako kitamu bana elezea vizuri.

Kati ya huyo mchepuko na bwana wako ni nani ndie wa 1 kuachana na ww na kwanini?
Mtu wangu tuliendelea nae muda mrefu maana ni baba mtoto wangu. Mchepuko nae tuliendelea kwa miaka na miaka nikipata chance ya kumuona maana nilihama mkoa. Hatujawahi kuachana ni ile kupotezeana tu kutokana na majukumu ya kifamilia.
Baadae nilichoka tu kuwa nae lkn ni mtu ambae hata nikimtafuta leo kutaka kukumbushia itawewezekana. Miaka 4 iliyopita nilikutana nae mahali akaniambia bado hajaoa..sijui ni kataa ndoa yule maana umri umeenda tayari 40 plus
 
Mtu wangu tuliendelea nae muda mrefu maana ni baba mtoto wangu. Mchepuko nae tuliendelea kwa miaka na miaka nikipata chance ya kumuona maana nilihama mkoa. Hatujawahi kuachana ni ile kupotezeana tu kutokana na majukumu ya kifamilia.
Baadae nilichoka tu kuwa nae lkn ni mtu ambae hata nikimtafuta leo kutaka kukumbushia itawewezekana. Miaka 4 iliyopita nilikutana nae mahali akaniambia bado hajaoa..sijui ni kataa ndoa yule maana umri umeenda tayari 40 plus
Duuh kwa wanaume sisi sio ishu we are very cheap! Na kila mtu anajua kuwa "mwanaume ni wa wote"

Ila kumpata mwanamke atakayekuwa anakupa anytime mpaka kifo hapo ndo kisanga sasa.

Bora jamaa ni kataa ndoa maana ameshtuka atakuwa anachapiwa sana tu 🤣
 
Mtu wangu tuliendelea nae muda mrefu maana ni baba mtoto wangu. Mchepuko nae tuliendelea kwa miaka na miaka nikipata chance ya kumuona maana nilihama mkoa. Hatujawahi kuachana ni ile kupotezeana tu kutokana na majukumu ya kifamilia.
Baadae nilichoka tu kuwa nae lkn ni mtu ambae hata nikimtafuta leo kutaka kukumbushia itawewezekana. Miaka 4 iliyopita nilikutana nae mahali akaniambia bado hajaoa..sijui ni kataa ndoa yule maana umri umeenda tayari 40 plus
Na bestie yako je? Kwanini waliachana au ni kuchokana tu?

Je bestie yako kaolewa?
 
Duuh kwa wanaume sisi sio ishu we are very cheap! Na kila mtu anajua kuwa "mwanaume ni wa wote"

Ila kumpata mwanamke atakayekuwa anakupa anytime mpaka kifo hapo ndo kisanga sasa.

Bora jamaa ni kataa ndoa maana ameshtuka atakuwa anachapiwa sana tu 🤣
Lazima achapiwe kama ambavyo alikuwa anachapa vya wenzie.
Kuimba kupokezana
 
Yes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabu😅😅. Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
🤣🤣🤣🙌
 
ooooooo35467348487907796_n.jpg
 
Back
Top Bottom