Aisee una mabalaa wewe....eeh ikawajeJamaa wa bestie yangu..
Bonge moja ya adventure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee una mabalaa wewe....eeh ikawajeJamaa wa bestie yangu..
Bonge moja ya adventure
Nilishaendelea...soma comments vzr😀Aisee una mabalaa wewe....eeh ikawaje
Kuliwa? 🌈 Mpo kila mahalaNi kisa cha kweli alinisimulia mtu mmoja tulikutana kwenye basi natoka Dar kwenda Moro. Akasema kaka yake alikuwa na rafiki waliyependana sana lakini kwa bahati mbaya kumbe yule rafiki alikuwa akila mke wake.
Siku ya siku ikafika yule bwana akawafumania baada ya lile fumanizi maisha ya yule jamaa yalikuwa ya wasiwasi sana ikafika mahali akatoroka na kutokomea kusikojulikna mpaka sasa.
Naomba kama umewahi utusimulie nini ulieperience.
Sasa sii mngepiga threesum jmaniDah long story. Ila tulipitia majanga makubwa pamoja, tulidumu miaka mingi na best yangu hakuwahi kujua. Hadi leo ni best yangu...ilikuwa kipindi tupo chuo
Muanzishe na uzi wa wale waliokula mashemejiiiNi kisa cha kweli alinisimulia mtu mmoja tulikutana kwenye basi natoka Dar kwenda Moro. Akasema kaka yake alikuwa na rafiki waliyependana sana lakini kwa bahati mbaya kumbe yule rafiki alikuwa akila mke wake.
Siku ya siku ikafika yule bwana akawafumania baada ya lile fumanizi maisha ya yule jamaa yalikuwa ya wasiwasi sana ikafika mahali akatoroka na kutokomea kusikojulikna mpaka sasa.
Naomba kama umewahi utusimulie nini ulieperience.
Loh...hayo ni mambo yenu vijana wa sasa hivi. 😅😅Sasa sii mngepiga threesum jmani
Ila sasa besty wako ulikuwa unamtazamane jamaniLoh...hayo ni mambo yenu vijana wa sasa hivi. 😅😅
Ila sasa besty wako ulikuwa unamtazamane jamaniLoh...hayo ni mambo yenu vijana wa sasa hivi. 😅😅
Nilimtazama.vizuri tu😀Ila sasa besty wako ulikuwa unamtazamane jamani
Jamaa alifaidi kweli kweliNilimtazama.vizuri tu😀
Umejuaje?Jamaa alifaidi kweli kweli
Wanawake nauwty nauty wanakuwa watamu...kama umeweza kumzunguka beaty yako na kumuibia de liboloz basi kitandani una maujanja mingiUmejuaje?
Kuna mambo yanafurahisha sana...
Tubia hii dhambi maana utailipia.Nili kula mke wa mtu na jamaa aka jua ila jamaa ni wale cry babies ,nashukuru nili maliza chuo maana ilkua niki pishana na jamaa naona kabsa uyu mwamba ana weza kunichoma kisu aka kimbia
Ni yanahuzunisha sana loKuna mambo yanafurahisha sana...
Huwezi toka nae sababu ya commitment ya kifamilia ulionayo kwa sasa na sio kwamba humpendi, nipo sahihi?Mmh sijui😅😅
Sasa hivi siwezi tena kutoka nae