Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nimeishia kumshangaa mwamba, watu tuna share visa katika mazingira ya kujiburudisha, kujifunza etc, ye anataka mashindano..Wabongo kila kitu wanataka mashindano hata ungeadisia matatizo yako angetokea mtu kusema hujampita
Such a shit head you're
View attachment 3034222
Nishakula mtu na best yake.. Maswahiba haswa kama mtu na mdogo wake vile.. Nilianza na mkubwa, mdogo akaleta shobo nikapita nae.
Kuna manzi nilikuwa naifukuzia kwenye group ya whatsapp niliungwa na washikaji zangu...
Nikaifukuzia ikajaa, lakini nikawa na mashaka jamaa yangu huenda ni mali yake, manzi ikanikubalia siku ikaja geto, stori nyingi, nikaiambia fulani anakubwenga akaniambia alikuwa anambwenga, kidogo mwamba kapiga simu manzi akapokea wakaongea jamaa analalamikia binti kabadilika, simu kukatwa nikataka kumtimua binti, chozi hili hapa, nikaona isiwe tabu, nikaCHOVYA, tukawa wapenzi haswaaaa.
Mwanamke aliyenizalia mie mtoto wangu wa kwanza kabisa, alikuwa ni demu wa mshikaji wangu school na mimi ndio nilihusika zaidi kumtongozea jamaa, kumbe manzi ananikubali kiaina, miaka imekatika, akiwa bado na mshikaji, akaja dar, stori nyingi, nikaenda kumtembelea alipofikia ngoma night hii hapa, akaenda chumbani mie nikaangusha sebuleni, usiku mtu ananishitua tukalale chumbani, mimi nani nibishe, chumbani ikawa CHUMBANI kaifinyia kwa NDANI, mwanzo wa penzi, akambwaga mchizi, mimba juu na mtoto tukapata.
Nishakula mdogo mtu, ambapo dada yake tulikuwa na mahusiano lakini sikumkula, mdogo mtu akajileta NIKAFYEMBA.
Hiki kipande cha ngoma ya harmonize huwa nakumbuka mbali saana "Ujana una mengi n mengi nimefanya, sjwezi danganya nishamaliza."
Sasa nimekuwa nishaachaga ufirauni woote, kila nikikumbuka ya zamani namshukuru mungu kuchoropoka salama.
Yes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kufumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabu[emoji28][emoji28]. Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
Wabongo kila kitu wanataka mashindano hata ungeadisia matatizo yako angetokea mtu kusema hujampita
So ni kweli true love never die?Hakukuwa na sababu maalum ilitokea tu.
Ingawa kabla hajawa na huyu best yangu mimi nilikuwa namzimia sana jamaa nikamwambia best. Bahati mbaya jamaa alichelewa kunifata so mimi nikamoveon na mtu mwingine. Baadae shetani akatupitia😅
Hello...Sisy demi hi [emoji112]
Mimi mke wa mtu sili hata ajilengeshe vipi,silii.Hello...
Mambo yako?
Mmh sijui😅😅So ni kweli true love never die?
Vizuri sana. Mke wa mtu sumu..kaa mbali nae.Mimi mke wa mtu sili hata ajilengeshe vipi,silii.
Kuna shida nyingi kwenye ulimwengu wa roho, tena zaidi mumewe akihisi na kuanza kulalamika aisee.
Pia kuna kubeba maroho yao,kuna magonjwa,watu wengi wanahisi wanandoa wako safe hahaha.
Though nikiwa chuo nilishapita kimasihara na dem wa rafiki,tulikua mitungi alafu mshikaji akamsusa manzi ake club akasepa na ka 1st yr,duh saa ya kutoka hatumwoni ikabidi shem akalale kwangu,ndo ikawa kamchezo chetu hadi tunamaliza chuo.But am sorry this will never happen again.
Mapenzi ya hivi yanakuaga matam kweli, nimeexpirience mara mbili kua na mahusino na rafiki wa manzi yangu.Hakukuwa na sababu maalum ilitokea tu.
Ingawa kabla hajawa na huyu best yangu mimi nilikuwa namzimia sana jamaa nikamwambia best. Bahati mbaya jamaa alichelewa kunifata so mimi nikamoveon na mtu mwingine. Baadae shetani akatupitia😅