Umewahi kutana na Mpenzi kichefuchefu wa namna hii?

...aUmefanya Vyema kumove on. Hakufai. Mungu atakujalia...!
 
[emoji38][emoji38][emoji38] wanawake bhana
 
Kuhonga kwangu mwisho Elfu 50 tena kwa mwezi ikizidi hapo ni kibuti tu,wanaume tunapoteza pesa na muda wetu kipumbavu wakati mama zetu tunawapa pesa kwa mbinde!,wakati kila siku tunahonga kijinga
Watakuambia tusipangiane maisha
 
Safi sana hapo umefanya jambo la maana sana huo ndo uanaume sasa. Ukimrudia uyo utajuta kuzaliwa
 
Wanavyo jifanya matawi ya juu,watembele makwao wana hali ya kuungaunga, asubuhi tu unaweza ukamkuta na bakuri lake anasubiri mihogo "niwekee kama kawaida ya elfu...........",ukimfumania sasa na kumuuliza ww si uliniambia hulagi miogo,utamsikia '.......mimi na kulia hamu.........", mpaka una mshangaa ,hamu mihogo ya elfu moja.

Wanapenda maisha ya maigizo,kupenda makubwa wakati hawana kitu.
 
Kuna ka demu nilikatoa out, nikakalisha, nikakanywesha, tukaongea ongea nikakarudisha kwao. Nimekashusha nikatoa 20k nikakapa kiroho safi. Nafika home nakutana na msg "Umenionaje kunipa elfu 20"

Aisee kwanza nilishangaa sana, halafu nikakasirika! Ila nikajipa moyo maana nilikua sijatafuna mbususu. Nikafanya chapchap ndani ya wiki 2 zilizofuata nikapiga kama mara 4 hivi. Kwanza nikakuta sio katam wala nini. Baada ya kukatafuna nikapiga block kila mahali mpaka leo hakajawahi kunisikia tena..
 
Maisha magumu siku hizi, we ukiwa na hela mpe tu, ila kuna baadhi wanakela
 

Achana na mbuzi huyo afterall mmekutana kila mtu ana meno yamejaa mdomo! Let her go!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…