Umewahi kutongoza demu mwenye muonekano wa kawaida akakukataa? Ulijisikiaje?

Umewahi kutongoza demu mwenye muonekano wa kawaida akakukataa? Ulijisikiaje?

Ya for prostitutes 😆
Sio for prostitutes..Mwanamke yoyote ana bei.

Ukiwa na pesa hutumii nguvu kutongoza.Utaangalia tu kitu ambacho hana,unampa zawadi..

Au unamtoa tu out sehemu classic.Ila kama unaenda kumsubiri kwenye vichochoro huko uanze kujitia huruma..Aaah!!
 
Nini demu ,malaya wale kabisa wakujiuza alinikataa licha ya kumtamanisha shingi 30.Nikajisema kismati cha mbwa koko kimenikamata.
 
tafuta hela tu,, mie nikipita tu na kipikpik changu cha 110cc honlg ....baaas wanakuja kama wote
 
Wakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!!

Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa 🤣m.
Sio wanakukatalia sema mademu kama hao mtu hauwezi kwenda extra mileage kuwafukuzia. Mostly una-approach tu kumaliza upwiru wa haraka haraka. Akili ikirudi kwenye hali yake ya kawaida hauna mzuka nae tena
 
Back
Top Bottom