Umewahi kutongoza demu mwenye muonekano wa kawaida akakukataa? Ulijisikiaje?

Umewahi kutongoza demu mwenye muonekano wa kawaida akakukataa? Ulijisikiaje?

Demu mwenye mwonekano wa kawaida ndo yukoje? Tuanzie hapo kwanza maana muonekano wa kawaida ni relative. Muonekano wa kawaida kwako kwangu yaweza kuwa ndiyo pisi kali; and vice versa.

View attachment 3236949

➡️➡️➡️ Binti anayejitambua na kujithamini huwa hakubali kuingia katika mahusiano hovyo hovyo hata kama siyo pisi kali maana anajua thamani yake (kwa asilimia 100) haitokani na ulimwende wa machoni bali destiny yake na utimizaji wa kusudi lake lililomleta hapa duniani. Hata uwe na vihela vyako na ki Range Rover chako kwa mabinti wa aina hii utachemsha. These type of girls tend to be very loyal maana huwa hawababaishwi na cho chote; na ni pure wife material japo huwa ni vigumu sana kuwaelewa. JF hapa nimeshakutana nao wawili. They are physically very gorgeous (according to my standards) lakini mtiti wake hasa ni huko upstairs. Super smart. Super complicated yet so sweet, simple, humble and extremely good friends. Ukimpata wa aina hii oa maana kwa sasa ni wachache sana!

#WosiaWaBabu.....
Huyo demu hajakutana na wandewa.Atanasa tu na anapigwa kata funua kama kawaida.THIS HOES AINT LOYAL TO NO BODY BUT THEIR FEELINGS!!!

Demu akikukazia wewe sio kigezo kuwa haliki.Ila ni wewe huna mbinu.Demu yoyote analika ikiwa kama moves zako ziko calculated.

📌📌📌Ndomaana nawaambia madogo tafuteni hela,vaeni vizuri nukia smart,kuwa na confidence,mind your business(punguzeni shobo),getto kali kama la ngwea.Mwisho kabisa usiwe na pupa.Hakuna paka itakatiza kwenye mtego wako na akafanikiwa kutonasa.

🚨Kuna mademu nilijilia bila kutongoza sababu tu ya kutokuwa na shobo(minding my business)vijana wengi wa afu mbili hii mbinu mnaichukulia poa ila ni mbinu KABAMBE!!
 
umewahi kujiuliza anakwepa usione au kujua nini ndani yake hadi anakukataa gentleman?🐒
Ni kweli sometimes inakuwa hivyo,Kuna demu nilikuwa namsalandia alafu full nyodo na staki nataka kibao ila katika kutafuta info zake kabla sijaforce kingi.

Nikavujishiwa na mndani wangu kuwa huyo demu K yake inatema na anahaha kutafuta tiba🙌🙌🙌So sometimes hawa viumbe huwa wanakaza kutoa ushirikiano kwakua wanajua hali zao sio nzuri,vijana sometimes wakubali vingine sio riziki haviliki🤝
 
Wakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!

Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa 🤣.
Playboy the way wanavyo tongoza huwaga hawapo serious ila mabinti hwachomoki.
 
Ni kweli sometimes inakuwa hivyo,Kuna demu nilikuwa namsalandia alafu full nyodo na staki nataka kibao ila katika kutafuta info zake kabla sijaforce kingi.

Nikavujishiwa na mndani wangu kuwa huyo demu K yake inatema na anahaha kutafuta tiba🙌🙌🙌So sometimes hawa viumbe huwa wanakaza kutoa ushirikiano kwakua wanajua hali zao sio nzuri,vijana sometimes wakubali vingine sio riziki haviliki🤝
uko sahihi kabisa gentleman :pedroP:
 
Huyo demu hajakutana na wandewa.Atanasa tu na anapigwa kata funua kama kawaida.THIS HOES AINT LOYAL TO NO BODY BUT THEIR FEELINGS!!!

Demu akikukazia wewe sio kigezo kuwa haliki.Ila ni wewe huna mbinu.Demu yoyote analika ikiwa kama moves zako ziko calculated.

📌📌📌Ndomaana nawaambia madogo tafuteni hela,vaeni vizuri nukia smart,kuwa na confidence,mind your business(punguzeni shobo),getto kali kama la ngwea.Mwisho kabisa usiwe na pupa.Hakuna paka itakatiza kwenye mtego wako na akafanikiwa kutonasa.

🚨Kuna mademu nilijilia bila kutongoza sababu tu ya kutokuwa na shobo(minding my business)vijana wengi wa afu mbili hii mbinu mnaichukulia poa ila ni mbinu KABAMBE!!
Kama wewe umesema, ni nani atabisha mkuu? I salute you! 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Bwana mdogo tafuta hela acha kuwapigia hao mademu kelele.Mkono mtupu haulambwi.Babu zako enzi zao ndo walikuwa wanasoundisha demu na maneno matupu na hapo walikuwa wanapewa nyapu baada ya miaka mitatu ya kujilizaliza😄😄😄

kijana mdogo wewe tafuta hela,vaa vizuri kuwa na hirizi ya mjapani( gari). Hizo paka zitakuwa zinapishana getoni kwako kama unafuga panya.
Sawa mkuuu
 
alikuwa bonge nilitaka kuchukua uzoefu mpya ila alichomoa akidai anamtu wake hata ivyo kwabaadaenilijilaum sana
 
Wakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!

Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa 🤣.
Aisee
 
Nje ya mada, hivi kwa nini mleta mada huwa una dislike kila mtu, kila comment?
Ni kweli kwenye uzi mzima kunakuwa hamna comment hata moja unayonipenda?
Ana pigo za kike sana huyo jamaa.
 
Wakuu naombeni mnielezee kama imewahi kukutokea hii kitu yaani unajua kabisa kuwa hapa hachomoi ila ndo hivyo anakuchomolea alafu unakuta huyo huyo demu anamtongoza msela wa kawaida tu imewahi kukuta!

Mi binafsi sijawahi maana nina ego kubwa 🤣.
Ukiwa na muonekano mzuri au Status kubwa ukamfuata mwanamke au msichana mwenye muonekano wa kawaida utapigwa kibuti kilichoenda vidato.Inatokea mara nyingi na hukataa ili kujilinda na matokeo ya kutendwa maana anajua uwezo wa ku compete kwenye mahusiano hana when other goods are available in the market 😊😊

Mimi huwa naelewa misimamo yao na siwezi kuwachukia.
 
Ukiwa na muonekano mzuri au Status kubwa ukamfuata mwanamke au msichana mwenye muonekano wa kawaida utapigwa kibuti kilichoenda vidato.Inatokea mara nyingi na hukataa ili kujilinda na matokeo ya kutendwa maana anajua uwezo wa ku compete kwenye mahusiano hana when other goods are available in the market 😊😊

Mimi huwa naelewa misimamo yao na siwezi kuwachukia.
Duuh
 
Back
Top Bottom